Katika kutembelea website ya ebay nikaipenda simu APPLE iphone 4s-16GB Verion ( Factory Unlocked) smart phone. This device is 100% fully functional having passed our industry leading inspection...
Maelezo yote yapo hapa, best of luck jamani.
Link: Bots for Messenger Challenge
For many years Facebook has been promoting innovation across the Middle East and Africa, providing startups with...
Naombeni msaada wa kununua simu mtandaoni kupitia mtandao wa Ebay, hatua za muhimu za kufuata pia hata kuitambua simu Ubora wake hata network yake, unaweza nunua halafu kufika TZ network locked.
Salaam wana jukwaa.
Nilipata taarifa flan kwamba kuna fundi anatengeneza inveter za kufua umeme wa AC kutoka DC at same time inatengengeneza DC ya kurudisha kwenye betri ilipotoa.
Kumbuka hapo...
Wakuu,naombeni msaada kwa anayejua.Simu yangu Internal memory ni 8GB.
Nikijaribu kuinstall apps inanipa meseji kama hiyo hapo heading. Niliiroot lakini iligoma mpaka wa leo.Any update?
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi
1.Kuna muda...
Niliahidi kutoa mifano ya fursa ambazo Rafiki zangu Developers wanaweza tumia nakuleta impact kwa jamii nahata duniani kiujumla. Fuatilia my previous thread
Nilieleza hits muhimu zakujua...
Naomba msaada ndugu zangu ninahitaji kudowload season mpya ya prison break season 5 iliyotoka mwezi huu wa nne, lakini sifahamu naipata vipi naomba mwenye ujuzi wa hili jambo anifahamishe kupitia...
Tunapomsikia mtu akisema Usalama wa mitandao/Matumizi mzuri ya mitandao...tumeshawahi kujiuliza huyu mtu ana lengo na nia gani kwa jamii??....Kwanza kabla mtu yeyote hajaanza kutuhubiria kuhusu...
Jamani msaada nna simu yangu imetoka ulaya sema haiingii sim card za tanzania na inataka unlock codes ambayo nimejaribu kugoogle wanaziuza usd 30 msaada jamani kama kuna njia nyingine mnisaidie...
Hii silaha kwakweli ni hatari sana, A Taser is an electroshock weapon sold by Taser International. It uses electrical current to disrupt voluntary control of muscles causing "neuromuscular...
Wale ambao mlikuwa na shaka juu ya ujio wa nokia na kusema kuwa simu za Nokia chini ya HMD na FOXCON hazitakuwa na roho ya paka kama Nokia za enzi zile nadhani mnapaswa mfute mawazo hayo akilini...
Nina laptop aina ya HP sasa Jana nilipokuwa nataka kuizima bahati mbaya nikabofya button ya restart, Naona baada kumaliza Ku restart button za chini zote hazifanyi kazi.....
Katika pitapita zangu sijaona, App ya kitanzania angalau yenye 1m downloads. Watu hawana new idea au tatizo ni nini?
Dev wengi wanafanya basic websites na kufungua development agency.
Kama kuna...
Kuna project nafanya, ningependa kujua makadirio ya idadi ya magari Tanzania
1. Binafsi %?
2. Serikali %?
Nimejaribu kufanya hesabu za jumla kwa kutumia number plate za sasa kwa ku-assume kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.