Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,748
- 15,769
Techno C8 haingizi chaji mpk uuzime, inanisumbua maana kuna wkt chaji inaisha mchana inabidi niizime ili niichaji, msaada tafadhali wataalam.
Mbovu sana Mkuu, nilimpa mtoto ameifunga kamba anaendesha kama gariMiye nilikuwa tena wa Nokia, nilikuwa natumia mpk nachoka simu, mpk Leo ninayo simu C6500, yaani hizi Tecno sinunui tena.
Ngoja niitaarishie jeneza boss wangu raphae wa ureno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbovu sana Mkuu, nilimpa mtoto ameifunga kamba anaendesha kama gari
Mbona yangu mwaka 2 sasa kitu kipo poa tu
hahahaha hapo inaficha ndo unataka uongee na mtuInanikera kuficha contacts tu kama hujui namna ya kuzipata utaisoma Namba