Msaada: iPhone 5C ina tatizo la power button

Raaj

JF-Expert Member
Feb 10, 2013
205
29
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi
1.Kuna muda hata kama simu siitumii inaleta ile screen ya kuzima simu yaani inakua kama nimebonyeza power button ili niizime wakati sijafanya hivo.
2.Power button inafanyakazi kwa wenge sana kuna muda inafanya kazi muda mwingine inakataa bila sababu yoyote.
3.Simu inajiweka lock mara kwa mara hata kama iko inatumika yaani mfano nikiwa naitumia ghafla lock inajiweka na nikibonyeza home button ili kuondoa lock inapiga screen shot zisizo na idadi
Naombeni msaada wenu Ndugu zangu.
 
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi
1.kuna muda hata kama simu siitumii inaleta ile screen ya kuzima simu yaani inakua kama nimebonyeza power button ili niizime wakati sijafanya hivo
2.power button inafanyakazi kwa wenge sana kuna muda inafanya kazi muda mwingine inakataa bila sababu yoyote
3.simu inajiweka lock mara kwa mara hata kama iko inatumika yaani mfano nikiwa naitumia ghafla lock inajiweka na nikibonyeza home button ili kuondoa lock inapiga screen shot zisizo na idadi
Naombeni msaada wenu Ndugu zangu
Pengine ina matatizo ya kiufundi zaidi
 
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi
1.kuna muda hata kama simu siitumii inaleta ile screen ya kuzima simu yaani inakua kama nimebonyeza power button ili niizime wakati sijafanya hivo
2.power button inafanyakazi kwa wenge sana kuna muda inafanya kazi muda mwingine inakataa bila sababu yoyote
3.simu inajiweka lock mara kwa mara hata kama iko inatumika yaani mfano nikiwa naitumia ghafla lock inajiweka na nikibonyeza home button ili kuondoa lock inapiga screen shot zisizo na idadi
Naombeni msaada wenu Ndugu zangu

Nina wasiwasi simu yako hujainunua ikiwa mpya kabisa (second hand). Simu kama ulivyohisi mwenyewe kutokana na maelezo yako hilo ni tatizo katika hardware upande wa power button hivyo panajibonyeza penyewe na kufanya iwe ina ji lock unapoitumia na iki hold ndio unakuja huo ujumbe wa kutaka kuzima..!!


Ushauri irudishe ulipofanyia biashara au km uliiangusha au kuikandamiza na kitu kizito sana ukaua switch ipeleke kwa fundi muelewa.
 
Nina wasiwasi simu yako hujainunua ikiwa mpya kabisa (second hand). Simu kama ulivyohisi mwenyewe kutokana na maelezo yako hilo ni tatizo katika hardware upande wa power button hivyo panajibonyeza penyewe na kufanya iwe ina ji lock unapoitumia na iki hold ndio unakuja huo ujumbe wa kutaka kuzima..!!


Ushauri irudishe ulipofanyia biashara au km uliiangusha au kuikandamiza na kitu kizito sana ukaua switch ipeleke kwa fundi muelewa.
asante kwa ushauri wako
 
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi
1.kuna muda hata kama simu siitumii inaleta ile screen ya kuzima simu yaani inakua kama nimebonyeza power button ili niizime wakati sijafanya hivo
2.power button inafanyakazi kwa wenge sana kuna muda inafanya kazi muda mwingine inakataa bila sababu yoyote
3.simu inajiweka lock mara kwa mara hata kama iko inatumika yaani mfano nikiwa naitumia ghafla lock inajiweka na nikibonyeza home button ili kuondoa lock inapiga screen shot zisizo na idadi
Naombeni msaada wenu Ndugu zangu
Hio simu itakua ni refurbished na sio mpya ukiweza rudisha ulipo nunua au ipileke kwa fundi .
Na pili iphone 5c hazipo vizuri sana kwenye ubora afadhali 5s au 5se
 
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi
1.kuna muda hata kama simu siitumii inaleta ile screen ya kuzima simu yaani inakua kama nimebonyeza power button ili niizime wakati sijafanya hivo
2.power button inafanyakazi kwa wenge sana kuna muda inafanya kazi muda mwingine inakataa bila sababu yoyote
3.simu inajiweka lock mara kwa mara hata kama iko inatumika yaani mfano nikiwa naitumia ghafla lock inajiweka na nikibonyeza home button ili kuondoa lock inapiga screen shot zisizo na idadi
Naombeni msaada wenu Ndugu zangu
Hiyo simu ina tatizo kwenye powerButton ( imelegea au Ina shortCircuit). Kwasababu karibu dalili zote unazozipata zinatokana na kazi za powerButton.

Ikijibonyeza inaLock screen
IkijiHold inaleta Option ya Kuzima simu
Ikijobonyeza na wewe ukabonyeza homeButton basi inafanya ScreenShot.

Hili tatizo mafundi wanaliweza
 
as
Hiyo simu ina tatizo kwenye powerButton ( imelegea au Ina shortCircuit). Kwasababu karibu dalili zote unazozipata zinatokana na kazi za powerButton.

Ikijibonyeza inaLock screen
IkijiHold inaleta Option ya Kuzima simu
Ikijobonyeza na wewe ukabonyeza homeButton basi inafanya ScreenShot.

Hili tatizo mafundi wanaliweza
Asante kwa kunitoa wasiwasi ngoja nikacheki mafundi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom