Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu; Ningependa kuelekezwa namna ya kuzigeuza videos kutoka MP4 kwenda AVI. Napenda kuplay video kwny DVD player bt kuna baadhi huwa zinagoma, so help me pliz.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Nataka kujua ni sifa gani nitazingatia,ninapotaka kununua LAPTOP kwa ajili ya GAMES Nataka nijue sifa (Specification) ya laptop kwa ajili ya games...
3 Reactions
24 Replies
7K Views
Wadau habari zenu! Naomba mnisaidie hapa, nikihifadhi (save) video za YouTube offline huwa zinachukua nafasi ya kwenye memory card au internal storage? Au zinakaa hewani kama ilivyo kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wadau..... kuna uzi uliletwa humu JF unaelezea namna ya kusoma sms za simu 5o kwa kutumia gmial... mwenye link ile anisaidie ili niweze kusoma sms za mpenzi wangu coz I think smtn iz...
1 Reactions
5 Replies
9K Views
Kwanza niwashukuru sana wadau wa JF naweza sema sehemu kubwa ya taaluma yangu nimegain kutoka JF,naweka mezani tena hili nawezaje pata decoder za canal sports na nawezaje kuwa nazilipia?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu na wataalamu wa Teknohama msaada tafadhari. Laptop {Lenovo} lenovo Ilizima ghafla. Chaji inaingia lakini ukiwasha hakuna chochote kinachoendelea. Cha ajabu kuna wakati mara mojamoja sana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanajaamii. Kwa wale wenzangu mlio vizur katika android development. Naomba msaada kwa mwenye ujuz wa namna ya kuwasiliana kati ya fragment mbili au zaidi (fragment communication) kwa...
0 Reactions
0 Replies
513 Views
Hi Je wajua kuwa atomic bomb ni bomb lililotengenezwa kutokana na mzozo wa kanuni za fizikia uliotekea miaka ya 1930 Mwanasayansi Albert Einstein akiwa katika hali ya masihara alivumbua kanuni...
1 Reactions
1 Replies
770 Views
Mtaalam wa pc ya Dell latitude D 830 anipe kampani hapo Asante
0 Reactions
3 Replies
664 Views
Mnaotarajia kununua ps4 ila mna TV zile cable za rangi tatu msije mkaingia hasara bure due to lack of awareness Play station 4 saizi inatumia teknolojia ya h.d.m.i cable kuunganisha ps4...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
zvdvvdv
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Wakongwe tumekuwa tukiona watu wengi wakianzisha app zao na kuziuza.. Kuendana na mabadiliko ya teknolojia.. Ndio maana Kelvin wa instagram alianzisha instagram na ndani ya mwaka mmoja aliiuza 1...
0 Reactions
9 Replies
988 Views
Jamanii pc yangu inazingua ukifungua kitu kinafunguka kingine tofauti nalichofungua. Nimepiga window chin still tazizo bado
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Simu nying latest hasa zinazotumia operating system za android, windows mobile hazitumii ip address na pronxy katika kuset internet. Hizi simu zinatumia access point tu ambayo ni internet then...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
ni topic ya form three na hyo maswal ymenishnda na naamin kuwa kuna mmbers genious humu who can help me unaweza ukalifanyia pmben then ukapiga pcha ukatuma thank u kwa kutumia mda wko...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
NUNUA SMARTPHONES MPYA NA ORIJINO KWA BEI RAHISI KUPITIA SMARTPHONES TANZANIA – Original Smartphones at lower prices WEKA ODA YAKO NA UTALETEWA POPOTE ULIPO DAR ES SALAAM PIA MIKOANI TUNASAFIRISHA
0 Reactions
3 Replies
2K Views
window disk inaonesha imejaa, nimejaribu kufuta vitu vyote vilivyopo kweny window lakini bado rang nyekundu haitoki. naombeni mnielweshe nini cha kufanya? natanguliza shukran cc Chief-Mkwawa.
0 Reactions
4 Replies
716 Views
NAomba msaada kwa anayeijua video editor nzuri isiyokuwa na license
0 Reactions
2 Replies
854 Views
Nimeshangaa nilipitia gallery ya iPHONE 7 pale GSM ARENA na kukuta hiyo picha yenye 3.5mm audio Jack. sasa swali ni kwamba hii imamaanisha GSMArena hawatumii official images kutoka Apple au huwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habar za mida, nimewasha pc yangu DELL LATITUDE E6410 imeniletea ujumbe huo(kwenye picha) , nimejaribu kurun onboard diagnostic lakini sijapata majibu tatizo lipo wapi.
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Back
Top Bottom