TAFADHALI WATAALAMU MLIOMO HUMU, NAOMBA MUONGOZO JINSI YA KUTUMIA ROUTER KWA SMART TV,.. JE, NIKIWA NA ROUTER PEKEE INATOSHA? AMA HADI NIUNGE NA MODEM? NA KAMA NDIVYO, KWAMBA NI LAZIMA NIWE NA...
Jamani Samsung S8 ishafika kweli bongo maana nmehangaika sana kuitafuta madukani nimeenda nakuta zimejaa s7 na s7 edge Tu!!" Anaejua wapi niende duka ambalo nikienda ntapata kwa Dar es Salaam.
Habari zenu wana tech wenzangu me naitwa hancy designer na Nina channel yangu inayouitwa HANCY TV nilikua nahitaji kupata views kwenye video zangu kwaiyo naombe msahada wenu nimejalibu Google...
Habari zenu wakuu
Nataka kununua smart phone yenye uwezo wa kudumu na charge kwa muda mrefu ukiachilia mbali maTECNO na maItel naomba ushauri ninunue simu ipi?
Nilinunua Lumia 635...
Nika update to windows 10, mimi ni mpenzi wa twitter sana
Windows phone nyingi hazina twitter nzuri in terms of GUI
huwez kuona retweets za watu vizur
Windows phone...
Shtorm carrier, known as Project 23E000E, is Russia's next military upgrade
Vessels will be the size of three football fields and cost up to $17.5billion each
Will carry 90 aircraft and be...
Wakubwa naomba kwa yule mwenye kuwahi kuicheza hii game anifahamishe "SURVIVAL ISLAND: Hero escape". Yaani kila nikijaribu kujikoki wapi naambulia patupu, ndo kwanza nipo awamu ya kwanza kwenda...
Color: Grey (unlocked),
location: Arusha City,
Storage Capacity: 128 GB,
Condition: Used, No scratches, Just as new.
Comes with Charger and Earphones.
Price: 1,400,000
inbox me
wadau naomba kujulishwa kuhusu ubora na mapungufu ya simu ya Samsung Galaxy S7 edge kwa waliobahatika kuzitumia maana ninaipenda sana na nina mpango wa kuinunua katikati ya mwezi May 2017 Mungu...
Habari, i hope mko good.
Kuna kitu kinanisumbua sana, yan kila nkiapload picha Facebook inakuwa kam inapungua ubora na muonekano wake,..
kwa yoyot anaejua mambo hizi namn ya kutatua hii...
Kama kichwa cha habari hiyo ni app store ambayo unaweza pata app zote zinazouzwa play store buuuure kabisa...!!
Amna haja ya kuroot simu yako inafanya kazi Hata usiporoot.
Mfano cheki hapa Game...
Wakuu salama? Desktop yangu imekufa na haina namna ya kurekebisha isipokuwa kutafuta nyingine au kupata motherboard. Ni workstation dell precision T 5500. Msaada wenu tafadhali. Na kama ipo...
Naitumia sana internet ya Ofa Kabambe (Fantastic Offer) ya Airtel kwenye *150*60# option 6.
Lakini kitu cha ajabu kabisa ni kwamba malipo ya kifurushi hiki hukatwa kwenye akaunti ya airtel money...
Habari za Asubuhi wana JF natumaini wote mko salama, leo kwa mara ya Kwanza napenda Kutambulisha Kwenye Akaunti hii ya Tanzania Tech ambayo itakuwa ikitoa mafunzo na habari mbalimbali za...
habari za asubuhi rafiki zangu.
naombeni mnisaidie, mimi natumia email yenye domain ya gmail. mara nyingi natunza mafaili mbalimbali kwenye drive ya email. jana nimefungua ili kuangalia lakini...
Msaada kwenye tuta wadau,
Nimeshindwa kuweka google account au kuingia playstore baada ya kufanya factory setting kwenye simu ya android.
Error ni " couldn't sign in - can't establish a reliable...
Habari zenu wana jamvi!
Kwa kutambua hili ni jukwaa husika, naomba watu waliokuwa wazoefu katika fani mbali mbali za kihandisi kutupatia shuhuda zao kuhusu fani walizosomea, na kukiri kuwa...