Airtel na Internet kwenyeOfa Kabambe

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
1,340
1,377
Naitumia sana internet ya Ofa Kabambe (Fantastic Offer) ya Airtel kwenye *150*60# option 6.
Lakini kitu cha ajabu kabisa ni kwamba malipo ya kifurushi hiki hukatwa kwenye akaunti ya airtel money badala ya kwenye muda wa maongezi. Kwa maneno mengine huwezi kujiunga na kifurushi hiki kama huna fedha kwenye akaunti yako ya airtel money.
Halafu kingine cha ajabu ni kwamba bei ya kifurushi (gb1 kwa elf kwa siku mbili) unakatwa 1050!

Nawauliza airtel: Kwa nini malipo ya kifurushi hiki yasilipwe kwenye muda wa maongezi? Kwa nini ni airtel money?

Pili, tangazo lasema kifurushi ni sh 1000.
Lakini kwa nini mnakata 1050?

Nataka kuwakimbia lakini sina jinsi, najiunga kwa unyonge kwelikweli!
 
Kwa sasa airtel wamejisahau sana hata kasi ya Internet iko slow sana ila ni mtandao ulio baki na bandle nzuri kwa bei poa 2gb na dk 110 siku tatu kwa 1000 shiing,1500 unapata bando la wiki 1gb na dk 150 wako vzur sema internet ni mwendo wa kobe
 
Kwa sasa airtel wamejisahau sana hata kasi ya Internet iko slow sana ila ni mtandao ulio baki na bandle nzuri kwa bei poa 2gb na dk 110 siku tatu kwa 1000 shiing,1500 unapata bando la wiki 1gb na dk 150 wako vzur sema internet ni mwendo wa kobe
Unajiunga vp
 
Piga *149*99# hiyo *150*60#ni menyu ya airtel money chochote utakachokifanya hapo kitahusisha airtel money kwahiyo usiwalaum bure
 
Kwa sasa airtel wamejisahau sana hata kasi ya Internet iko slow sana ila ni mtandao ulio baki na bandle nzuri kwa bei poa 2gb na dk 110 siku tatu kwa 1000 shiing,1500 unapata bando la wiki 1gb na dk 150 wako vzur sema internet ni mwendo wa kobe
mkuu jinsi ya kuactivate hizo bundle, msaada tafadhal
 
Sina shaka na amount mb wanazotoa, kinachonikera ni spidi yao. Unaweza kujiunga mb 80 ukashindwa kuzimaliza kwa siku kwa sababu ya spidi yao mbovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom