Facebook wanakera Sana.!!

Either unatumia older version ya facebook, au uwezo wa simu ku run app mbili kwa mda mmoja ni mdg, kwa sbb unapotumia facebook kufungua app nyingne, means unafungua apps mbili kwa mara moja, Kitu kingne Jarib ku CLEAR CATCHE,
 
Tatizo ni lako kama unatumia fb n0rmal badili utumie fb lite kama bado futa cache ikig0ma tumia ya operamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom