Wakuu salama? Naomba msaada kwa wale wataalam wakuchakachua DSTV,mshua amegoma kabisa kulipia siku hizi ndomana nataka nifanye makaratee. Naomba uni PM ili hawa jamaa wasitusanukie. Shukran wakuu
habari zenu wanajanvini! hard disk yangu nikiichomeka kwenye computer inaniambia 'your hard disk need you to format before using it" mara ya mwisho nilliweka kwenye computer ya jamaa yangu...
jamani wana jf,kuna watu wananilalamikia kuwa wananitumia sms kwa no.yangu ya voda,simu zao zinaonesha kuwa message delivered,lakini mm sizipati,tatizo litakuwa ni nini?
Mkubwa kuna jamaa kanunua CD yake ya anti virus kaspersky 2010 na ina key zake! Je akishai2mia kwenye computer yake,je na mm ntaweza ku2mia CD hyo hyo na key zile zile ku-install kwenye computer...
Habari zenu wadau?nimepata tatizo na laptop yangu,nimeiwasha asubuhi inakuja white screen bila chochote kuonekana,nimejaribu kuboot nifanye repair ya window ila command za kuboot ukibonyeza F12 au...
Habari zenu wadau popote mlipo, jamani naombeni mnisaidie kuzitoa hizi application errors msg zinatokea kweli kwenye screen yangu mpaka napata wasiwasi kuwa kuna siku litanizimikia kabisa, naomba...
ninnaweza kusikilizana na nilinayo iphone 3G. imeacha ku "ring} simu ikiingia. mimi nikipiga naweza kuzungumza na niliye mpigia. naomba msaada ya jinsi ya ku "re-set" iweze ku ring kwa simu...
According to information posted at Security Forum, the regions premier security mailing list, Rwanda security forces are in Kenya on a hacker recruiting mission.
By Dennis Mbuvi
April 07...
Wakuu habari za weekend?
Nafikiri comp yangu inatatizo, inaniambia "You may be a victim of software counterfeiting. This copy of windows did not pass genuine windows validation.
Halafu inaandika...
wakuu habar yenu. Mwenzenu juzi juzi psp yang light ilianguka bahati mbaya nakuvunjika display yake. Nimehangaika sana kutafuta replacement bila mafanikio. Naomba msaada kwa anaeweza faham mahala...
Hawa tigo wa hizi msg zao za promo zina kera..usiku umelala unasikia msg imeingia ..unaangalia labda ni msg muhimu kumbe tigo na promo zao..sijui inawezekana vipi kuzizua hizi
Wanajamii, habarini za usiku bila shaka muwazima. Nakumbuka siku kadhaa zilizopita niliwaomba mnisaidie namna ya kutumia simu kama Modem, nawashukuruni wote mlionisaidia na kunipa maelekezo kwani...
Who says good software has to be expensive ... or cost money at all? This week on Upgrade Your Life, Yahoo! News' Becky Worley shows how to save hundreds of dollars, with free alternatives to...
Wazee mambo Vipi? Naitaji Mtu ambae Anaweza Kutengeneza Curriculum ya ICT kwa lever ya Certificate, Diploma and Advance Diploma
Mawasiliano Zaidi Piga Namba 0685287862
Kwa wale wenye blogs na wengependa kuondoa maneno hayo hapo juu mwishoni wa blog page yako, tafadhali tembelea hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Wazee laptop yangu haina setup yoyote ya internet, yaani nikiunga network cable haitoi ishara yoyote kama imekuwa connected. Na nikienda kwenye my network places nakuta network za moderm tu na...
Zantel wamepunguza bei za modem zao kwa
50% na sasa zinauzwa kwa TSH 25,000 badala ya TSH 49,900. Vile vile wameongeza baadhi yavifurushi vimeongezwa kwa 100% bilakuongeza bei.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.