Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba msaada jamani jinsi ya kutumia simu yangu kam modemu kublouse kwenye laptop
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu salama? Naomba msaada kwa wale wataalam wakuchakachua DSTV,mshua amegoma kabisa kulipia siku hizi ndomana nataka nifanye makaratee. Naomba uni PM ili hawa jamaa wasitusanukie. Shukran wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wanajanvini! hard disk yangu nikiichomeka kwenye computer inaniambia 'your hard disk need you to format before using it" mara ya mwisho nilliweka kwenye computer ya jamaa yangu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
jamani wana jf,kuna watu wananilalamikia kuwa wananitumia sms kwa no.yangu ya voda,simu zao zinaonesha kuwa message delivered,lakini mm sizipati,tatizo litakuwa ni nini?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mkubwa kuna jamaa kanunua CD yake ya anti virus kaspersky 2010 na ina key zake! Je akishai2mia kwenye computer yake,je na mm ntaweza ku2mia CD hyo hyo na key zile zile ku-install kwenye computer...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wadau?nimepata tatizo na laptop yangu,nimeiwasha asubuhi inakuja white screen bila chochote kuonekana,nimejaribu kuboot nifanye repair ya window ila command za kuboot ukibonyeza F12 au...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wadau popote mlipo, jamani naombeni mnisaidie kuzitoa hizi application errors msg zinatokea kweli kwenye screen yangu mpaka napata wasiwasi kuwa kuna siku litanizimikia kabisa, naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninnaweza kusikilizana na nilinayo iphone 3G. imeacha ku "ring} simu ikiingia. mimi nikipiga naweza kuzungumza na niliye mpigia. naomba msaada ya jinsi ya ku "re-set" iweze ku ring kwa simu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
According to information posted at Security Forum, the regions premier security mailing list, Rwanda security forces are in Kenya on a hacker recruiting mission. By Dennis Mbuvi April 07...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za weekend? Nafikiri comp yangu inatatizo, inaniambia "You may be a victim of software counterfeiting. This copy of windows did not pass genuine windows validation. Halafu inaandika...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wakuu habar yenu. Mwenzenu juzi juzi psp yang light ilianguka bahati mbaya nakuvunjika display yake. Nimehangaika sana kutafuta replacement bila mafanikio. Naomba msaada kwa anaeweza faham mahala...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
Hawa tigo wa hizi msg zao za promo zina kera..usiku umelala unasikia msg imeingia ..unaangalia labda ni msg muhimu kumbe tigo na promo zao..sijui inawezekana vipi kuzizua hizi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nna simu ya samsung GT E2152 Nahtaj configurations za IMAP na nyngnezo il nweze pokea email direbt kama sms nyngne. Akaunt yangu ya email ipo yahoo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii, habarini za usiku bila shaka muwazima. Nakumbuka siku kadhaa zilizopita niliwaomba mnisaidie namna ya kutumia simu kama Modem, nawashukuruni wote mlionisaidia na kunipa maelekezo kwani...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Who says good software has to be expensive ... or cost money at all? This week on Upgrade Your Life, Yahoo! News' Becky Worley shows how to save hundreds of dollars, with free alternatives to...
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Wazee mambo Vipi? Naitaji Mtu ambae Anaweza Kutengeneza Curriculum ya ICT kwa lever ya Certificate, Diploma and Advance Diploma Mawasiliano Zaidi Piga Namba 0685287862
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wenye blogs na wengependa kuondoa maneno hayo hapo juu mwishoni wa blog page yako, tafadhali tembelea hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wazee laptop yangu haina setup yoyote ya internet, yaani nikiunga network cable haitoi ishara yoyote kama imekuwa connected. Na nikienda kwenye my network places nakuta network za moderm tu na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
https://www.facebook.com/pages/Pastor-Ambikile-Mwasapile/116609141752982
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zantel wamepunguza bei za modem zao kwa 50% na sasa zinauzwa kwa TSH 25,000 badala ya TSH 49,900. Vile vile wameongeza baadhi yavifurushi vimeongezwa kwa 100% bilakuongeza bei.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom