Zantel wamepunguza bei za modem zao kwa
50% na sasa zinauzwa kwa TSH 25,000 badala ya TSH 49,900. Vile vile wameongeza baadhi yavifurushi vimeongezwa kwa 100% bilakuongeza bei.
Napenda kushare nanyi elimu ndogo niliyonayo juu ya urahisi au ugumu na uwezekano na mbinu za mtu kuteka(ku hack) id na password zako mtandaoni.
Wanafanyaje?
Mtu anayeteka password...
By Oliver Smith
Designs for a futuristic aircraft seat aimed at gaming fanatics have been unveiled in Germany this week.
A prototype of the "NFW (Not for Wimps)" concept seat is currently on...
Wadau laptop yangu kwasasa ina windows 7 na ninataka ni install pia windows xp pro sp3 niwe na chagua niboot na os gani, kwa kuangalia specification za pc yangu je itakuwa salama au ntakuwa...
Kwa wale ambao tunatumia public computers zilizounganishwa kwenye mtandao nafikiri wengi wamekumbana na tatizo hili: Unastukia huoni folder hata moja kutoka kwenye flashdisk yako. Alafu cha ajabu...
Wakubwa nina tatizo na laptop yangu hp kuto kuchaji betrii. Nili consult watu wakaniambia kuwa yaweza kuwa betri mbovu. Nimenunua betri mpya lakini tatizo halikumalizika.
Mwenye msaada anisaidie...
Wakuu kunasehemu natakiwa kutuma application latter,cv na vyeti vyangu kwa barua pepe lakini natakiwa nivitume ktk mfumo ambao huko niliko tuma inatakiwa waki click kufungua basi zifunguke zote...
Habari wadau
Mimi nilikuwa natumia zantel siku za nyuma ambapo mtandao wao ulikuwa hausumbui, walikuwa wananipa 2GB kwa alfu kumi kwa wiki moja,Toka umeanza kusumbua nikahamia airtel ambapo...
Nina laptop aina ya dell620 hivikaribuni ghafla ile icon ya bat ilijionyesha na alama ya x nyekundu. Ukielekeza curser kwenye ile icon kuna pop up msg ikionyesha battery not detected. kwa hali hii...
Wakuu nahitaji laptop BRAND NEW.
It can be a Toshiba,Dell,HP, lakini nataka yenye dual core 2.0 or above/1Gb Ram or above/150GB HDD or above/15"tft/DVDRW/No need of software/mengine standard...
Have a few files you want to get rid off from the computer? Here's a small computer lesson on how to permanently delete files from computer.
A lot of people have a lot of old stuff lying on...
Wakuu naombeni msaada wenu jinsi ya kupata ID Card printer Datacard SD260 kwa hapa bongoland. naogopa kununua online coz more than 50 percent ya online auctioners ni scammers naombeni msaada tafadhali
Haya ni mambo muhimu kuhusu blogu haswa kwa wale wanaopenda kuanza kublogu au wenye blogu lakini wanapenda kujifunza zaidi baadhi ya vitu , mengine unaweza kujifunza kwa kutafuta kwenye mitandao...
Nimeamua kuuliza hili swali baada ya kuwa njia panda kwa muda mrefu. Wengine husema wakati mvua inanyesha hasa ya radi simu inatakiwa ifungwe maana ni hatari. Wengine husema haina tatizo. Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.