habari zenu wanajanvini! hard disk yangu nikiichomeka kwenye computer inaniambia 'your hard disk need you to format before using it" mara ya mwisho nilliweka kwenye computer ya jamaa yangu kuchukua mafail flani. kimsingi sitaki kuiormat maaana kuna data zangu za muhimu sana, mwenye kufaham jinsi ya kuifungua bila kuformat naomba anisaidie tafadhali.