kwa baadhi ya simu kama samsung b5722 unaweza block msg zisije ila kwa yule anayetuma anaambiwa delivered. huenda kuna mahali umechange bila kugundua au kama umenunua mkononi huenda pia mtumiaji wa kwanza ali-enable hiyo feature
Tatizo litakuwa simu, usikute zikiingia kuna sehemu zinakula pozi.
kwa baadhi ya simu kama samsung b5722 unaweza block msg zisije ila kwa yule anayetuma anaambiwa delivered. huenda kuna mahali umechange bila kugundua au kama umenunua mkononi huenda pia mtumiaji wa kwanza ali-enable hiyo feature
nilinunua mpya,ni nokia e71,kinachonishangaza ni kuwa,wakati mwingine napata sms,wakati mwingine ndo napata habari tu kuwa nilitumiwa sms
bt kwa case ya screened msg or spambox asingepata baadh na akose nyngne, even ya msg centre # cdhan kama n tatzo kwa maelezo yake hapo itakuwa ni masuala ya nseries n abv related prblmz
bt kwa case ya screened msg or spambox asingepata baadh na akose nyngne, even ya msg centre # cdhan kama n tatzo kwa maelezo yake hapo itakuwa ni masuala ya nseries n abv related prblmz
kwa case hiyo fanya master reset kama inawezekana alaf uchek inakuwaje.