Mara nyingi tukiongelea vikwazo kwenye sekta ya ICT serikali imeonekana ni kikwazo katika mambo mengi.
Wakati nakubaliana kuna mambo serikali inatakiwa kuyaweka sawa bado kuna wataalam wengi kwa...
Internet giant Google has announced the launch of Umbono, a Cape Town-based technology incubator that will provide qualifying internet and mobile technology entrepreneurs with seed capital...
Wakuu na wataalamu wa kutengeneza simu naomba msaada wenu.
Kuna ndugu yangu aliletewa simu aina ya Sam sung ch@t 3222 toka nje ya Tanzania(Nchi za Asia)...simu hizo hazikamati mitandao ya Tanzania...
vp wadau,naona hawa walioanzisha olas hawakujipanga vizuri wana ujumbe wa kutegatega sana watu,kama change from being an orphan to a single parent or having both parents,tutawafufuaje wazazi...
mimi ni mdau from arusha na niko deeply in need na begi la mgongoni kwa ajili ya kubebea vitabu pamoja na laptop yangu,nimejaribu mabegi ya hp lakini naona quality yake sio nzuri sana,a durable...
Habari wapendwa! Nimekutana na dell moja hapa ina sehemu ya kuweka simcard lakini nikienda kwa device manager sioni device yenye jina linalohusiana nalo. je inawezekana kuweka simcard na kutumia...
Jamani nilikua naomba msaada wa basic tutorials wa hizo mambo juu. Na je,nchini kwetu kama kuna wataalam wa hizi softwea mbona hamna application kama kwenye movies na games programming? Maana mimi...
Heshima mbele wanatechnology,binafsi nataka kuanza kujifunza from scratch,hakuna hata programu moja ya kompyuta ninayoijua lengo langu ili niweze kuwa web designer
When all you have is a hammer, every problem looks like a nail. This is a common mistake that a lot of technical security practitioners make when dealing with security issues. Always focusing on...
wapendwa wadau wa j.f, eti inawezekana ktk simu ya mkononi kublock namba ya mtu call isiingie kama anapiga, wala text msgs zisiingie! Inawezekana hii kweli? Tafadhali kama inawezekana naombeni...
wadau nina ka pc kangu niliwekewa win 7 ultimae na mjasiliamali lkn baada ya mwezi mmoja pc inaniandikia kuwa your window is not genuine ,mara you may be a victim of softwere counterfainting alafu...
Can anybody help me please?
I need help with my Assignment:
This assignment is about concurrent programming in JAVA
I'm required to come up with a system that can simulate an Automated Teller...
Naomba msaada wataalam!PC yangu ninapo play video kwa kutumia VLC PLAYER inaonyesha picha kwa kufifia sana,weupe unakua umezidi sana kwenye picha.JE TATIZO NI NINI?WAPI NILIPOCHEZEA?naombeni msaada.
Habari za weekend wakuu...
Nimejiregister na hii online system ya bodi ya mikopo.
Tatizo nimepoteza password, nimejaribu kuireset kwa kutumia swali la siri waliloniuliza nikiwa na register...
Hivi wakubwa inakuwaje kuchakachua star times mbona inazingua?
Ukijaribu kuchakachua inatokea sauti tu bila picha naombeni mwenye ile link yenye zile code aniwekee hapa,au ani pm maana hawa jamaa...
Ni matumaini yangu kuwa wana JF wote ni wazima! Kiukwel wakuu huwa natamani sana kujifunza na kuijua sana Adobe photoshop! huwa naona wivu sana pale napoona baadhi ya picha zikiwa zimefanyiwa...
--->Uliwahi kujaribu kutengeneza cartoon ya kiswahili kama kirukuu au Sara ?
---->Unajua software gani hutumika kufanya kazi hizo?
---->Unajua kazi hii inaweza kuchukua muda gani?
---->Unajua kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.