Hiphop
Member
- Jul 17, 2010
- 51
- 7
Habari zenu wadau?nimepata tatizo na laptop yangu,nimeiwasha asubuhi inakuja white screen bila chochote kuonekana,nimejaribu kuboot nifanye repair ya window ila command za kuboot ukibonyeza F12 au F4 haziji,hata setup ya F2 ambayo hutokea wakati wa kuwasha computer haitokei,nifanyeje wadau?