A newfound comet defied long odds on Thursday (Dec. 15), surviving a suicidal dive through the sun's hellishly hot atmosphere, according to NASA scientists.
Comet Lovejoy plunged through the sun's...
Habari zenu wana jf,
Ebana wakubwa mi nina tatizo katika mashine yangu aina ya Dell latitude x300,nimenstal OS ya Ubuntu 10.04 tatizo ni kwamba tangu niweke os hii spika kubwa ya mashine yangu...
yeeeeah huu ndo ukweli kolibri operating system ina mb 1.4 tu na inaweza hata kuingia kwenye flopy ya babu yako hehehe.....
Imetengenezwa na menuet os na zipo version 2 kama hujui moja ina 1.4mb...
Naombeni msaada kama kuna mtu anajua agent wa SONY kwa Tanzania nitawapa wapi wanipe msaada kitaalamu LCD yangu haiwaki inaonyesha taa red kama iko Standby mode lakini ukitumia remote kuwasha...
Naombeni mtaalamu anieleweshe kwanza nimeshindwa kuaccess sehemu ambayo nitaona function ya mtandao ili niweze ona salio na kuongeza hela, pia apple Id imekuwa inasumbua kulog na pia kuna option...
Nawasalimu wana-tech wa Jamii Forums,
Nimepoke computer ya sony vaio model:VPCCB26EC ina processing power ya 64-bit, imekuja pre-installed na windows 7 ultimate 64 bit....but then imekuja na...
Wakuu mambo vp? Tafadhalini sana naombeni msaada wenu wa jinsi ya kubadilisha lugha iwe kiingereza kwenye simu ya HTC TITAN nimejitahidi lakini nimeshindwa kwa lugha iliyomo sijui ni...
hey guys!...
Nilipata tatizo la kusend email kwa kutumia outlook ilikuwa inaleta error 800ccc80, nilifanikiwa kuondoa tatizo baada ya kugoogle
na kupata cha kufanya kuondoa hilo tatizo but I want...
Ninatumia windows xp service pack 2 na niliiactivate kwa kutumia keys, lakini baada ya muda inanipa msg "this copy did not pass genuine windows validation" na kwenye desk top kuna maandishi "this...
Natumia OS ya Window XP SP3 ,Baada ya kufanya instaklation juzi,icon ya LAN imepotea kabisa hivyo siwezi kuunganisha BB connection .
naomba wana ICT mnisaidie.
Nadhani wakati wa kubahatisha umepitwa haupo tena.
At TEDMED, Quyen Nguyen demonstrates a molecular marker that makes tumors light up in neon green -- making for simpler, safer surgery. Watch now...
Wana jf nimekwama laptop yangu inaandika lugha nisiyoijua(ni kama kirumi au kifaransa) katika option zote za internet browser yoyote inaonekana kuna sehemu imesetiwa na mtu naomba msaada niweze...
Habarini wana jf, mimi nina laptop ya acer 1410 naipenda sana ila kuna cku ilianguka na ikaua motherboard, naobeni mwenye nayo aniuzie ntashukuru sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.