Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

A newfound comet defied long odds on Thursday (Dec. 15), surviving a suicidal dive through the sun's hellishly hot atmosphere, according to NASA scientists. Comet Lovejoy plunged through the sun's...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
KATIKA KUANGALIA MOVIE HUWA NAONA HD au 3D..tofauti ni nini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, Ebana wakubwa mi nina tatizo katika mashine yangu aina ya Dell latitude x300,nimenstal OS ya Ubuntu 10.04 tatizo ni kwamba tangu niweke os hii spika kubwa ya mashine yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
yeeeeah huu ndo ukweli kolibri operating system ina mb 1.4 tu na inaweza hata kuingia kwenye flopy ya babu yako hehehe..... Imetengenezwa na menuet os na zipo version 2 kama hujui moja ina 1.4mb...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada kama kuna mtu anajua agent wa SONY kwa Tanzania nitawapa wapi wanipe msaada kitaalamu LCD yangu haiwaki inaonyesha taa red kama iko Standby mode lakini ukitumia remote kuwasha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni mtaalamu anieleweshe kwanza nimeshindwa kuaccess sehemu ambayo nitaona function ya mtandao ili niweze ona salio na kuongeza hela, pia apple Id imekuwa inasumbua kulog na pia kuna option...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wapendwa wana JF ., hivi hawa nokia dealers kwa hapa dar wapo maeneo gani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu wandugu,kwenye p.c yangu files na folders zote zinafungukia kwnye program moja(microsoft)naombeni mnisaidie tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nawasalimu wana-tech wa Jamii Forums, Nimepoke computer ya sony vaio model:VPCCB26EC ina processing power ya 64-bit, imekuja pre-installed na windows 7 ultimate 64 bit....but then imekuja na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamii naomba mtu mwenye templates nzuri za blogs aweze kunisaidia, natanguliza shukurani za dhati....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu mambo vp? Tafadhalini sana naombeni msaada wenu wa jinsi ya kubadilisha lugha iwe kiingereza kwenye simu ya HTC TITAN nimejitahidi lakini nimeshindwa kwa lugha iliyomo sijui ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hey guys!... Nilipata tatizo la kusend email kwa kutumia outlook ilikuwa inaleta error 800ccc80, nilifanikiwa kuondoa tatizo baada ya kugoogle na kupata cha kufanya kuondoa hilo tatizo but I want...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninatumia windows xp service pack 2 na niliiactivate kwa kutumia keys, lakini baada ya muda inanipa msg "this copy did not pass genuine windows validation" na kwenye desk top kuna maandishi "this...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natumia OS ya Window XP SP3 ,Baada ya kufanya instaklation juzi,icon ya LAN imepotea kabisa hivyo siwezi kuunganisha BB connection . naomba wana ICT mnisaidie.
0 Reactions
2 Replies
919 Views
Rating Popularity Free Spyware Terminator 2012 (Free) 3.0.0.43 adware and spyware scanner...
4 Reactions
55 Replies
16K Views
Nimeona facebook ni ujinga mtupu.Kindly help namna ya kujivua gamba (kujiondoa)facebook
0 Reactions
10 Replies
19K Views
Nadhani wakati wa kubahatisha umepitwa haupo tena. At TEDMED, Quyen Nguyen demonstrates a molecular marker that makes tumors light up in neon green -- making for simpler, safer surgery. Watch now...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
msaada jaman simu haisomi pdf files........msaada wa haraka tafadhal
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf nimekwama laptop yangu inaandika lugha nisiyoijua(ni kama kirumi au kifaransa) katika option zote za internet browser yoyote inaonekana kuna sehemu imesetiwa na mtu naomba msaada niweze...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wana jf, mimi nina laptop ya acer 1410 naipenda sana ila kuna cku ilianguka na ikaua motherboard, naobeni mwenye nayo aniuzie ntashukuru sana.
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Back
Top Bottom