Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nina modem ya Vodafone, Model yake ni K3571-Z Je ni namna gani naweza ichakachua?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina iphone 3g ila bluetoth imenishinnda kutumia nifanyaje ? Nakuombeni mnisaidie
0 Reactions
5 Replies
993 Views
Wakuu, Naomba mnisaidie software ya folder lock maana folders zangu kwenye computer zinachezewa sana na vijana, nimejaribu kudownload kwenye internet lakini kila niliyopata ni demo, nitashukuru...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natumai wakuu wote mu wazima, Nina simu ya iphone 4 nimejaribu kupekuwa lakini sijaona kama ina function ya 3d japokuwa picha zake za video na screen saver zinaonekana vizuri, sasa nauliza hivi je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo opera mini imenizingu nikaamua kutumia bolt browser kwenye kimeo changu na nikakutana na ujumbe huu "Dear BOLT User, The free BOLT mobile browsing service will be discontinued...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nina pikipiki aina ya Honda 125XL na naomba mwenye kujua duka au agent anayeuza genuine parts hapa Dar. Nimechoshwa na spare za Taiwan na China.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari yenu wana-jf. Naombeni msaada wandugu. CD ROM yangu haisomi cd/dvd na imekuwa sometime inachagua baadhi ya cd. Naombeni msaada nifanyeje. Laptop langu ni hp pavilion entertainment pc...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
when ever i try to use or install it, my antivirus security declares it is a virus, its getting on ma nerves coz i try other ways i get stuckk,,, assistance please....:A S embarassed:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa anayewewza kunisaidia nikipata activation code za panda global protection pliz nahitaji msaada wake
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hamjambo wajukuu zangu...haya nisaidieni jinsi ya kuchakachua moderm hii ili niweze kutumia line ya airtel..sasa msianze kunipiga mawe maana vijana ninyi bwana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kila ninapowasha komputer,inapo-boot antivirus inaniletea ujumbe wenye options zifuatazo:-open in sandbox,open nomally,cancel. Nilipofuatilia file husika ni; C:Windows/system32/Wusa32.exe. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotaka kutumia simu kupiga bure Watumie hii njia itakusaidia kupiga simu bure kokote kule haya kazi kwenu angalia hii Video
0 Reactions
4 Replies
4K Views
nina email ya mtu nataka kuhack facebook yake, maujanja
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu Nilijipa ka homework ka vitendo ka kufanya kuna vitu gani ndani ya Hard Disk Drive (HDD) HDD ni muunganiko wa tujivifaa gani ? Katika makororo yangu ya kompyuta nilikuwa nina HDD ya...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Tomorrow at 9 am EST scientist at CERN in switzerland are expected to announce with fairly strong certainty that they have observed Higgs Boson particle or "Gods" Particle. The particle that gives...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nawataka radhi km nimerudia post Naomba kama mtu anafahamu hizo chaneli tajwa hapo juu iwapo wahusika wamebadilisha Frequency zao kwa wale wanotumia Satellite Dish. Ilianza kupotea channel TEN...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ndugu wadau hope mmeamka poa... Naomba mwenye utaalamu anijulishe message yenye huo ujumbe "USB DEVICE NOT RECOGNIZED" kila dk kwenye laptop yangu inajotokeza japo device niliyokua najaribu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nitawezaje ku-unlock zantel modem ya Model: HUWAEI EC122?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Jamani naomba msaada kwa anayewajua/anamjua wataalam/mtaalam wa ku unlock simu kutoka marekani.Nimekutana na mafundi wengi wanasema wanaweza kutoa lock lakini network itakuwa haisomi.Kwa anayejua...
0 Reactions
3 Replies
979 Views
Back
Top Bottom