donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
salama wakuu? mimi nilikua na idea kwanini watu watu wa IT tusifanye michakato yakutengeneza ka app ka jf kwenye formats kama jar,symbian,android etc.(kwenye simu) ili iwe haina haja yakuingia kwenye browser. unapata live feeds kutok kwenye hiyo app yetu. ni idea tu wakuu!