Unapo Danganywa na Computer.....

Unapo Danganywa na Computer.....

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,755
Upo na Computer yako(laptop au desktop).Unaandika mchango wako au mada flani ktk mtandao wa JF.Unaipitia mara mbili mbili au tatu ili kusahihisha makosa ya kiuandishi.Unasahihisha na kujiridhisha kuwa ulicho kiandika kipo sahihi na hakuna kosa lolote.Una-post mada/mchango wako.Baada sekunde kadhaa baada ya kupost unaona makosa ya kiuandishi.Wataalam wa IT tusaidieni hapo,hii kitu inasababishwa na nini?.
 
Overlooking, unachokiona sio kilichopo pale bali kile unachokifikiria au kukitaka kiwe.
 
Upo na Computer yako(laptop au desktop).Unaandika mchango wako au mada flani ktk mtandao wa JF.Unaipitia mara mbili mbili au tatu ili kusahihisha makosa ya kiuandishi.Unasahihisha na kujiridhisha kuwa ulicho kiandika kipo sahihi na hakuna kosa lolote.Una-post mada/mchango wako.Baada sekunde kadhaa baada ya kupost unaona makosa ya kiuandishi.Wataalam wa IT tusaidieni hapo,hii kitu inasababishwa na nini?.

Ndiyo maana JF wamekuwekea kitufe cha edit, ili usahihishe makosa.
 
Kama Gurta alilvyocomment hapo juu, hii kitu inatokea sana, wataalam wanashauri mpatie mtu mwingine ahariri kile ulichoandika.
 
Ndiyo maana JF wamekuwekea kitufe cha edit, ili usahihishe makosa.
hata wewe bmkubwa nina hakika ktk thread zako ulibofya kitufe cha edit mara nyingi lakini ulipo-post ukakuta typing arror.
 
Upo na Computer yako(laptop au desktop).Unaandika mchango wako au mada flani ktk mtandao wa JF.Unaipitia mara mbili mbili au tatu ili kusahihisha makosa ya kiuandishi.Unasahihisha na kujiridhisha kuwa ulicho kiandika kipo sahihi na hakuna kosa lolote.Una-post mada/mchango wako.Baada sekunde kadhaa baada ya kupost unaona makosa ya kiuandishi.Wataalam wa IT tusaidieni hapo,hii kitu inasababishwa na nini?.
Kama unaandika mada ndefu, yenye kurasa zaidi ya mbili na kuendelea, unachotakiwa baada ya kumaliza kuandika, ni kuipitia taratibu na kwa uangarifu, bila kuruhusu usomaji wa kimazoea, hii nikimaanisha kuwa kusoma herufi kama zilivyo na si kufikiria kuwa ndivyo zilivyo... Mf: Changamoto & Chanyamoto, Ndevu & Ndefu, Kisha & Kasha n.k

Kisha usikimbilie ku-post, iwache kwanza kwa muda wa kama dakika 30+ Kisha baada ya muda huo kupita, ifungue kazi yako na kuisoma kama vile unasoma bandiko la mpinzani wako na ukitafuta poit za kumjibu... Ukifuata hivyo basi makosa yatapungua sana.
 
hata wewe bmkubwa nina hakika ktk thread zako ulibofya kitufe cha edit mara nyingi lakini ulipo-post ukakuta typing arror.

Ni kawaida, na nikizikuta nagonga tena edit, labda kiondolewe hicho kitufe.
 
kama unaandika mada ndefu, yenye kurasa zaidi ya mbili na kuendelea, unachotakiwa baada ya kumaliza kuandika, ni kuipitia taratibu na kwa uangarifu, bila kuruhusu usomaji wa kimazoea, hii nikimaanisha kuwa kusoma herufi kama zilivyo na si kufikiria kuwa ndivyo zilivyo... Mf: changamoto & chanyamoto, ndevu & ndefu, kisha & kasha n.k

kisha usikimbilie ku-post, iwache kwanza kwa muda wa kama dakika 30+ kisha baada ya muda huo kupita, ifungue kazi yako na kuisoma kama vile unasoma bandiko la mpinzani wako na ukitafuta poit za kumjibu... Ukifuata hivyo basi makosa yatapungua sana.


kweli pia punguza pupa
 
Kama unaandika mada ndefu, yenye kurasa zaidi ya mbili na kuendelea, unachotakiwa baada ya kumaliza kuandika, ni kuipitia taratibu na kwa uangarifu, bila kuruhusu usomaji wa kimazoea, hii nikimaanisha kuwa kusoma herufi kama zilivyo na si kufikiria kuwa ndivyo zilivyo... Mf: Changamoto & Chanyamoto, Ndevu & Ndefu, Kisha & Kasha n.k

Kisha usikimbilie ku-post, iwache kwanza kwa muda wa kama dakika 30+ Kisha baada ya muda huo kupita, ifungue kazi yako na kuisoma kama vile unasoma bandiko la mpinzani wako na ukitafuta poit za kumjibu... Ukifuata hivyo basi makosa yatapungua sana.
Ni kweli lakini mkuu Mwambie Mkuu Invisible arekebishe hili

katika ku post Thread kisha Mtu akaona alichokiandika ni makosa na ana taka kurekebisha basi japo mumpe dakika moja ili aweze ku

edit na kurekebisha yale makosa aliyoyandika Sio munampa mtu sekunde 10 hazitoshi kurekebisha hayo uliyoyandika jamani si

unajuwa sisi wengine ni wazito sijuwi kwa sababu ya uzee au macho ni mabovu Mjaribu kutuvumilia kwa kuandika kwetu na kurudia rudia kuandika mutupe japo dakika moja baada ya kuPost Maandishi yaliyokuwa na makosa asante Mkuu X-Paster.
 
Kama unaandika mada ndefu, yenye kurasa zaidi ya mbili na kuendelea, unachotakiwa baada ya kumaliza kuandika, ni kuipitia taratibu na kwa uangarifu, bila kuruhusu usomaji wa kimazoea, hii nikimaanisha kuwa kusoma herufi kama zilivyo na si kufikiria kuwa ndivyo zilivyo... Mf: Changamoto & Chanyamoto, Ndevu & Ndefu, Kisha & Kasha n.k

Kisha usikimbilie ku-post, iwache kwanza kwa muda wa kama dakika 30+ Kisha baada ya muda huo kupita, ifungue kazi yako na kuisoma kama vile unasoma bandiko la mpinzani wako na ukitafuta poit za kumjibu... Ukifuata hivyo basi makosa yatapungua sana.
[/QUOTE]"....iwache kwanza kwa mda....."hii kitu bhana inafurahisha sana.
 
Kama unaandika mada ndefu, yenye kurasa zaidi ya mbili na kuendelea, unachotakiwa baada ya kumaliza kuandika, ni kuipitia taratibu na kwa uangarifu, bila kuruhusu usomaji wa kimazoea, hii nikimaanisha kuwa kusoma herufi kama zilivyo na si kufikiria kuwa ndivyo zilivyo... Mf: Changamoto & Chanyamoto, Ndevu & Ndefu, Kisha & Kasha n.k

Kisha usikimbilie ku-post, iwache kwanza kwa muda wa kama dakika 30+ Kisha baada ya muda huo kupita, ifungue kazi yako na kuisoma kama vile unasoma bandiko la mpinzani wako na ukitafuta poit za kumjibu... Ukifuata hivyo basi makosa yatapungua sana.
"....iwache kwanza kwa mda....."hii kitu bhana inafurahisha sana.
 
Back
Top Bottom