Msaada ku track simu ya Tigo

Msaada ku track simu ya Tigo

komredi ngosha

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
382
Reaction score
71
Leo nimeibiwa laptop na simu yenye laini ya Tigo mpaka sasa iko hewani. Naomba mwenye ujuzi wa haya mambo tuwasiliane. Help pls !
 
Wasiliana na polisi kisha wao wanamamlaka ya kufuatilia on your behalf baada ya kupangiwa mpelelzi aliyebobea katka IT. Kama uko jijini hii ni rahisi. Asante
 
Back
Top Bottom