Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu habari za mwaka mpya 2012, Nimekuwa nikidownload software mbalimbali bila matatizo lakini inapokuja kwenye games ndo tatizo linapoanza. Zimekuwa ngumu mno kupakuliwa labda vigame...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Napenda kuwatakieni wote kheri ya mwaka mpya 2012 kwa jf members. Ndugu zangu naombeni ushauri kuhusu blog yangu,nataka sasa kukaribisha matangazo ya biashara,sasa kama kawaida kila jambo zuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nisaidieni niki downloard operamin au uc browser,hazifungunguki, ina instole kwa mda mrefu bila kumariza kisha inakuja text ilioandika check settings,nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari watu wngu wa jf..lengo la topic hii ni kujuzana mobile apps unazozifaham na kuzi2mia ambazo ni nzr na ni wapi zinapatkn.i mean web ip..ili kila m2 anufaike!karibu
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Nenda nokiarock.Com then ingia kwenye software utaclick on new software then utaiona sor jamani natumia cmu nimeshndwa weka link lakn ukifata maelekezo utaipata
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza natanguliza shukran zangu nakuwatakia HAPPY NEW YEAR wanajamvi woote wa forum hii. Shida yangu nilikuwa naomba kwa yeyote anaye kumbuka kuna thread ilianzishwa hapa ili husu juu ya...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Unapoingia ndani ya chumba chenye giza,kisha ukabonyeza swichi ili kuwasha taa,je giza linakwenda wapi?. Au unapokuwa ndani ya chumba chenye mwanga wakati wa usiku halafu ukabonyeza swichi kuzima...
3 Reactions
66 Replies
18K Views
Wakuu nillifanya instalation ya hiyo window yapata mwezi sasa,lakini wakati nafanya hivyo nikiwa na original cd key yake kutoka kwenye cd hiyo ambayo ni ProductKey =...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ZTE Modem ya Voda K3571-Z kila niki apply inakubali,ukifungua tu browser inakata.Nina 3G ya Voda lakin inagoma kuunganisha. Ukiifungua inakuja ile nyekundu ya Voda. Na ukifungua 3g pekee inagoma...
0 Reactions
0 Replies
665 Views
How to extend your smartphone’s battery life By Tecca | Today in Tech - Fri, Dec 23, 2011 No matter what type of smartphone you have, the device can serve as your MP3 player, digital camera...
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Nna computer ina sehemu ya kuingiza lain so nifanyaje ili niweze kuitumiaa. Computer ni dell
0 Reactions
4 Replies
906 Views
Wadau kuna habari zozote kuhusu ofa mpya za internet toka Airtel ? majuzi walitutumia sms kusitisha ile ofa yao ya internet MB 200 za bure kuanzia saa 6 usiku wakisema wanaleta ofa kabambe kwa...
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Habari wakuu, Tafadhali kama yupo mtu anaulewa juu ya kubadili hizo ac hapo juu naomba msaada maana kuna mambo mengi nashidwa kufanya kama yupo please naomba msaada natumia windows xp.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana jf naomba msaada wa kuunganisha simu yangu, niliponunua simu hii nimeikuta ikiwa na opera 4 ambayo naitumia kuingia kwenye mtandao, ss shida niliyonayo ni pale ninapotaka kudownload kitu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana jf Naomba msaa wa kuondoa tatizo laptop imenigome. Nilikuwa nafanya installation ya antivirus ya avast nilipomaliza ilinitaka nireboot ili ifanye sytm scaning, niliclick ok lakini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wanajf. Waungwana, naweza pata soft ware ya kuhifadhi mafile ya aina mbalimbali ktk mfumo mzuri na easily accessed and managed.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Does anyone has any idea on how to unlock tiGo modems nowadays? Nlikuwa naweza kuzi-unlock zamani lakina sikuhizi hata ukiweka line nyingine, ile box kwa ajili ya kuingiza unlock code haiji; au...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani please anybody who knows how to unlock hizi modem za sasa za tigo, imekuwa proble tofauti na za mara ya kwanza
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wanna make some cash? Kuna website ambayo inakuwezesha kumake money online. Iko kama facebook flani ila a bit different. Unachotakiwa kufanya ni kupata 100 points tu na utalipwa 120 $(usd)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ningependa kuuliza kama kuna yeyote ambaye bado ameweza kupata access ya free internet ya saa 5 usiku maana kwa siku kazaa imenikatalia sasa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…