Airtel free internet

Geraldo DaVinci

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
277
37
Ningependa kuuliza kama kuna yeyote ambaye bado ameweza kupata access ya free internet ya saa 5 usiku maana kwa siku kazaa imenikatalia sasa
 
Sidhani kama sasa hv inakubali coz walishasema kwamba ofa hyo itasitishwa nadhan tar 24 na kwamba kungekuwa na ofa nyingine kabambe kwa ajili Xmass na mwaka mpya,sasa sijui imeishia wapi!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom