Yah mkuu hzo ni customized firmware na haziwezwi kuwa unlocked that way.. kuna njia ya kutemporary unlock them hio njia ndo nayojua na yesDoes anyone has any idea on how to unlock tiGo modems nowadays?
Nlikuwa naweza kuzi-unlock zamani lakina sikuhizi hata ukiweka line nyingine, ile box kwa ajili ya kuingiza unlock code haiji; au ukitumia program ya Code Writer, inakuambia "error"