Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari JF? Naomba kufahamu JQuery image plugins.. Just nipatie link mahali ntakapozipata Shukrani
0 Reactions
1 Replies
943 Views
Wakuu naomba msaada wenu nitumie au nitafute sofwate gani niunganishe simu yangu ya Samsung GT - 15500 na pc kwa kutumia kama modem, kuamisha mafiles, n.k NAWASILISHA!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Kheri ya mwaka mpya, Naomba msaada, jinsi ya kutengeneza forum au discussion group. Ninayo domain ambayo iko hosted na ninailipia ingawa kama kuna sehemu ya bure ambayo naweza kutumia kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda nipate taarifa ktk simu yangu kupitia msg.ili ninapokuwa jf offline kama kuna mtu ka coment katika post yangu basi nipate kujua.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina wazo la kuanzisha kituo kidogo cha kurusha free to air TV katika mkoa fulani, vifaa vya production vingi ninavyo; tatizo nililonalo ni kwenye upande wa transmission; 1. Ni transmitter gani ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
hivi kuna way ya kuzuia calls kutoka kwa namba moja tu kwenye simu ya nokia ya torch
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hi wadau.. A little bit of help here.. Am about to buy iphone 4 but I would to know if it works here in tz. Cos the last I heard it was nt possible. So please fill me in!
0 Reactions
16 Replies
7K Views
---------------------------------------- Office Professional Plus 2010 Retail Keys ----------------------------------------- Office Professional 2010 76XCJ-YMH2W-YQQV6-XX76X-QK3K7 Office...
1 Reactions
10 Replies
52K Views
Wakuu habari za mwaka mpya 2012, Nimekuwa nikidownload software mbalimbali bila matatizo lakini inapokuja kwenye games ndo tatizo linapoanza. Zimekuwa ngumu mno kupakuliwa labda vigame...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Napenda kuwatakieni wote kheri ya mwaka mpya 2012 kwa jf members. Ndugu zangu naombeni ushauri kuhusu blog yangu,nataka sasa kukaribisha matangazo ya biashara,sasa kama kawaida kila jambo zuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nisaidieni niki downloard operamin au uc browser,hazifungunguki, ina instole kwa mda mrefu bila kumariza kisha inakuja text ilioandika check settings,nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari watu wngu wa jf..lengo la topic hii ni kujuzana mobile apps unazozifaham na kuzi2mia ambazo ni nzr na ni wapi zinapatkn.i mean web ip..ili kila m2 anufaike!karibu
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Nenda nokiarock.Com then ingia kwenye software utaclick on new software then utaiona sor jamani natumia cmu nimeshndwa weka link lakn ukifata maelekezo utaipata
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza natanguliza shukran zangu nakuwatakia HAPPY NEW YEAR wanajamvi woote wa forum hii. Shida yangu nilikuwa naomba kwa yeyote anaye kumbuka kuna thread ilianzishwa hapa ili husu juu ya...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Unapoingia ndani ya chumba chenye giza,kisha ukabonyeza swichi ili kuwasha taa,je giza linakwenda wapi?. Au unapokuwa ndani ya chumba chenye mwanga wakati wa usiku halafu ukabonyeza swichi kuzima...
3 Reactions
66 Replies
18K Views
Wakuu nillifanya instalation ya hiyo window yapata mwezi sasa,lakini wakati nafanya hivyo nikiwa na original cd key yake kutoka kwenye cd hiyo ambayo ni ProductKey =...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ZTE Modem ya Voda K3571-Z kila niki apply inakubali,ukifungua tu browser inakata.Nina 3G ya Voda lakin inagoma kuunganisha. Ukiifungua inakuja ile nyekundu ya Voda. Na ukifungua 3g pekee inagoma...
0 Reactions
0 Replies
665 Views
How to extend your smartphone’s battery life By Tecca | Today in Tech - Fri, Dec 23, 2011 No matter what type of smartphone you have, the device can serve as your MP3 player, digital camera...
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Nna computer ina sehemu ya kuingiza lain so nifanyaje ili niweze kuitumiaa. Computer ni dell
0 Reactions
4 Replies
906 Views
Wadau kuna habari zozote kuhusu ofa mpya za internet toka Airtel ? majuzi walitutumia sms kusitisha ile ofa yao ya internet MB 200 za bure kuanzia saa 6 usiku wakisema wanaleta ofa kabambe kwa...
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Back
Top Bottom