Nina x-mas tree lights ambayo ina branches mbili. Branch moja inafanya kazi na nyingine haifanyi (taa haziwaki). Baada ya troubleshooting, nikagundua kwamba hizo lights zina fuse ambazo nazo zipo...
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na...
Ndugu wana Jf ninaomba wanaofahamu ubora wa Nokia E7 wanipe data maana nimejaribu kudownload operamin naambiwa inahitaji frames.Hii simu imeandikwa made from Finland lakini nahisi inaweza kuwa...
Wakuu wapi nitapata simu nzuri ambayo inaspeed nzuri ya internet na yenye uwezo mkubwa wa kudownload,camera na memory kubwa na ni aina gani?kwa bei ya laki tano.
Wadau naombeni mnisaidie katika hili kwasababu hata sielewi tatizo nini,nikiwapigia customer care wanasema watalishughulikia lakini nimekaa masaaa kama saba hivi bila solution.
Tatizo lenyewe ni...
Wadau.
Nimekuwa nikitumia browser kusafu jamii forums kwenye simu yangu bila shida yoyote japokuwa kuna limitations mbalimbali lakini nafikiri kuwa inafanya vizuri. Sasa juzi si nikapata bahati...
Nimekumbana na hili tatizo wakati naingiza hii adapter yenye memory card kwenye laptop yangu. Napata msg kuwa SD storage card has a driver problem. How do i fix this tafadhali.
Naomba msaada wenu nifanyeje Laptop iliingiwa na virus (Trojan), nime scan bado imificha programs, program ZOTE nikifungua inatokea Window Media, hata Icons zote zaonesha Windows media player.
Watumiaji waliokubuhu kwenye matumizi ya blackberry naomba msaada wenu,kuna simu aina ya blackberry 8310 sasa kijana wangu mmoja anashindwa kuiona memory card naomba mnielekeze hatua kwa hatua...
Flash Disinfector was designed to remove unwanted files including autorun.inf on removable USB drives, flash drives and memory sticks. Use flash disinfector if you cannot access your USB drives...
Habari wakuu, nokia n900 brand new,
32 GB 256MB RAM, Card slot: Micro SD up to 16GB, GPRS class 32.
speed: HSDPA,10Mbps, HSUPA 2Mbps
wi-FI, camera: 5MP, 2576 X 1936 pixel.
Bei inauzwa laki 6 na...
HAYA KWA WALE WANAOTAKA KUMTUMIA MTU EMAIL PASIPO NA KUUNGANISHA INTERNET CHUKUA HII. MASHARTI YAKE UWE NA ACCOUNT YA www.gmail.com NA UWE NA WEB BROWSER YAKO IWE NI GOOGLE CHROME KAZI KWENU VYA...
Kwa wale wanapenda kuropokwa maneno yasofaa, jamaa wapo kazini 24/7 ukija kukosa viza ya kuingia state usishangae; kumbe kuna mahala uliharibu na wenyewe wakakuona.
CIA
Wakuuu salam,
Mwenzenu nimekwama nahitaji msaada wenu,
Nimeletewa hiki kisimu cha nokia kutoka uk huko alikuwa anatumia mtandao wa 3 ila tangu niipokee kila nikiweka line yoyote ya Tz naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.