Habari wakuu,
Tafadhali kama yupo mtu anaulewa juu ya kubadili hizo ac hapo juu naomba msaada maana kuna mambo mengi nashidwa kufanya kama yupo please naomba msaada natumia windows xp.
wana jf naomba msaada wa kuunganisha simu yangu, niliponunua simu hii nimeikuta ikiwa na opera 4 ambayo naitumia kuingia kwenye mtandao, ss shida niliyonayo ni pale ninapotaka kudownload kitu...
Habari wana jf
Naomba msaa wa kuondoa tatizo laptop imenigome. Nilikuwa nafanya installation ya antivirus ya avast nilipomaliza ilinitaka nireboot ili ifanye sytm scaning, niliclick ok lakini...
Does anyone has any idea on how to unlock tiGo modems nowadays?
Nlikuwa naweza kuzi-unlock zamani lakina sikuhizi hata ukiweka line nyingine, ile box kwa ajili ya kuingiza unlock code haiji; au...
wanna make some cash? Kuna website ambayo inakuwezesha kumake money online. Iko kama facebook flani ila a bit different. Unachotakiwa kufanya ni kupata 100 points tu na utalipwa 120 $(usd)...
Salaam wanajf,mimi napenda sana macomputer,natamani sana kusomea na kufanya kazi kwenye macomputer,nishaurini kozi nzuri na chuo kizuri naweza somea.nipo Arusha.
Jamani wananchi nimepata bonge la software ambayo inaweza kufuta na kubadilisha password ya windows yoyote...and can be downloaded for free!!..
chakufanya download hilo file ambalo ni file la ISO...
Nina memory card ya 4gb,naitumia kwenye nokia n70,nikifungua inasema corrupted,nikifomart inasema protected kama kuna mtu anaweza nipa mawazo mengine,thanx
Laptop inawaka lakini kwenye screen zile shortcut hazionekani. Hakuna icon hata mmoja. Sioni namna yoyote ya kuweza kuaccess folders zangu. Nifanyeje jamani? Nimezima nakuwasha kama mara 70 ila...
About Unlocking Windows Mobile Phones
"Lot of paid/Box solution available these day to unlock Windows Mobile Phones. we ll not discuss anything about any product. all product related...
Natafuta used 2811 Router 2950/3550 Switch.
Wapi nitapata tanzania hii?
(nina option ya kunua ebay - mwenye experience na ununuzi ebay naomba hints)
Nawakilisha.
Katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka fulani, uongozi wa vodacom uliwahi kuahidi kuwa, ndani ya mwaka uliokuwa ukikaribishwa wangekuja na huduma mpya ya kuchaji simu kupitia mtandao. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.