Nina simu ya samsung note2 N7100; jioni hii imeanza mazinga umbwe, awali ya yote natumia line ya voda. Sasa ghafla inaniambia (selected network vodacom unavailable) na siwezi kupiga simu wala...
Habari yenu ndg wa jukwaa hili. Jamani anombeni sn msaada kwa wenye ufahamu juu ya namna ya kupata history ya kazi zote zilizofanywa ktk photocopy mashine. Yaani kujua idadi ya copy pages and...
Habari wanajukwaa ,
Natumaini mi wazima WA afya njema na mwaendelea na majukumu ya kila siku .Najitokeza kwenu kuuliza je kwa yeyote yule anayeweza nisaidia kujua kua nitapatawapi simu ya...
Habari za asubuhi wakuu.
Ninatumia simu aina ya samsung galaxy S3 Neo sasa tatizo ni kwamba tangu wiki ilopita napata ujumbe kwamba simu yangu ina virus.
Nifanyeje kukabiliana na hili?
Naomba kujua nini tatizo kila nikijaribu ku insert picha kwenye post /ku upload kinatokea kibox plain hii ni zaidi ya wiki sasa baada ya jf kufanyiwa marekebisho,
Natumia simu ya Samsung galaxy mega GT - I9152, tatizo lake haijai chaji hata ikijaa inatumia muda mwingi, masaa nane (8) na kuendelea. Naomben ushauri
Habari za asubuhi wakuu.
Nina simu niliweka Pin kwa ajili ya security , baada ya kuweka nimejaribu kuifungua bila mafanikio , sasa nahisi kuna namba nilikosea manake sijasahau zile PIN ...
Nina...
Wakuu, habarini za mchana.
Mchina wangu ana tatizo ambapo ha-install program, ha-save chochote wala hawezi kufuta kilichokuwepo kabla ya tatizo. Nilipojaribu kuflash, imetokea error kama...
1) Wifi tethering
2) Overclock the processor
3) Custom ROMs and Kernels
4) Complete customization
5) Early updates to Android version
6) Remove bloatware
7) Take screen shots (for pre Android...
Kampuni ya Netflix leo imetangaza kusambaza huduma zake katika nchi 130 zaidi, ikiwemo Tanzania.
Netflix inatoa huduma ya streaming movies/series/etc na unalipia kwa mwezi.
Kwa mitandao yetu ya...
Hi wataalam!
Nasumbuliwa na tatizo moja la PCs kufanya shortcuts hasa kwenye External Mass Storage km Pen Drive(Flash Disk) na Memory Card na External HDD.
Shortcut hzo hufanya extension ya .Ink...
Habari Wakuu!
Nahitaji msaada kwa anayejua jinsi ya kutuma ujumbe wa picha, sauti ama video kwa kutumia njia ya MMS, hii ni kwa simu ya aina yoyote ila ina uwezo wa kutumia MMS. Mwenye kufahamu...
Habari zenu,
Napenda kuuliza kwa mwenye ufahamu kwa nini AdSense huamini clicks zaidi kutoka AMERICA, mfano kuna account moja USA earned dollar ni 72 ,Tanzania 5.2 dollar lakini clicks za TZ...
1. Punguza brightness kwenye simu
2. Zima WiFi / Bluetooth / Data pale unakuwa huitumii
3. Tumia vibration pale inapohitajika.
4. Tumia Airplane Mode ukiwa sehemu isiyo na network reception
5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.