Hahahaaa chief jibu la swali lako hili hapa
Processor: 1.5GHz Octa-core cortex A53 CPU, MediaTek MT6753 chipset with Mali-T720 GPU
cortex a53 ni processor ya hali ya chini, ipo hadi kwenye simu za bei rahisi kama moto e, na hio mali t720 ni sawa tu na adreno 306, ni gpu za hali ya chini.
unapoeka gpu kama hio na kioo chenye resolution kubwa then kinachofuatia ni majanga
cortex a53 ni processor ya hali ya chini, ipo hadi kwenye simu za bei rahisi kama moto e, na hio mali t720 ni sawa tu na adreno 306, ni gpu za hali ya chini.
unapoeka gpu kama hio na kioo chenye resolution kubwa then kinachofuatia ni majanga
Lakini hata Samsung galaxy note4 ina Cortex za a53 na a57 na ipo poa
Ila chief hii band zake za 4g za 800/850/2100/2600 bila shaka zinaendana na mitandao yetu,
Kuliko ile ya C5 uliosema haitokubaliana na mitandao yetu ya simu
idea ya metal case na fingerprint scanner nimeipenda ila sijui kwanini tecno kwenye processor habadiliki
Unaonekana huzipendi tecno
Mdiatek is a bitch
Hii simu Kesho itazinduliwa rasmi.
Specifications :
Netwok: 2G/3G/4G LTE
Display : 5.5" Full high definition
Protection: Corning gorilla glass 3
Dual sim
Sensor : Proximity,Gyro, Finger print scanner
Gps
Internal Memory : 32GB
Ram: 3GB
Battery :3000 mah
Hii ni bonge la simu
Unaonekana huzipendi tecno
Lkn pamoja na hayo hii simu bila ya pesa kuanzia laki 7 huinunui