haji kudra
New Member
- Oct 26, 2011
- 4
- 0
Natumia simu ya Samsung galaxy mega GT - I9152, tatizo lake haijai chaji hata ikijaa inatumia muda mwingi, masaa nane (8) na kuendelea. Naomben ushauri
Samsung ni simu nzuri ila tatizo lake ni charging system, na ni kwa simu nyingi tu za smartphone. waweza badili battery uone kama tatizo litaendelea lakini ni kawaida. pia jaribu kuwa unazima data na uwashe tu pale unapohitaji kutumia. pole kwa usumbufu.Natumia sim ya Samsung galaxy mega GT - I9152 tatizo lake haijai chaji hata ikijaa inatumia mdaa mwing masaa nane 8: nakuendelea naomben ushauli
tumia chrge halisi yenye AMPS sawa na simu yako tatizo hilo litakwishaNatumia simu ya Samsung galaxy mega GT - I9152, tatizo lake haijai chaji hata ikijaa inatumia muda mwingi, masaa nane (8) na kuendelea. Naomben ushauri