Simu yangu inaleta ujumbe kuwa ina virus, nifanyaje?

Simu yangu inaleta ujumbe kuwa ina virus, nifanyaje?

Katitima

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
634
Reaction score
125
Habari za asubuhi wakuu.

Ninatumia simu aina ya samsung galaxy S3 Neo sasa tatizo ni kwamba tangu wiki ilopita napata ujumbe kwamba simu yangu ina virus.

Nifanyeje kukabiliana na hili?
 

Attachments

  • 1452485409603.jpg
    1452485409603.jpg
    45.9 KB · Views: 57
  • 1452485426483.jpg
    1452485426483.jpg
    57.3 KB · Views: 60
hakuna chochote hapo,cha kufanya ni kuclose page hilo pia fungua website salama.
 
hakuna chochote hapo,cha kufanya ni kuclose page hilo pia fungua website salama.
Website kuwa na ads kibao haimaanishi si salama, kama umewah kutana na discovery ads utaweza gundua hili, software inajiinstall yenyewe then inaanza kudisplay ads kwenye site zote unazo visit, na hii inawatokea sana wanaopenda kuvisit website za porno.
Habari za asubuhi wakuu.

Ninatumia simu aina ya samsung galaxy S3 Neo sasa tatizo ni kwamba tangu wiki ilopita napata ujumbe kwamba simu yangu ina virus.

Nifanyeje kukabiliana na hili?
Hayo ni matangazo tu na site kama google haziwezi kufanyia hivyo eti wakupe recommendation ya crap app like virus killer, damn impossible.
by the way am not going to spoon feed you with simple situation like this, Google will going to fit here, even jamiiforums too there is alot of threads here discussing the same situation just use search option displayed right there,
 
Habari za asubuhi wakuu.

Ninatumia simu aina ya samsung galaxy S3 Neo sasa tatizo ni kwamba tangu wiki ilopita napata ujumbe kwamba simu yangu ina virus.

Nifanyeje kukabiliana na hili?

Kama inatokea ukienda site fulani tu basi ni hiyo site ina tatizo, kama zinatokea kila wakati kunaweza kukawa na virus kwenye simu virus hao wanaonyesha hizo warning za uwongo ambazo nia yake nivkukufanya uinstall programs. Nenda kwenye thread hii
Msaada: Monkeytest na timeservice kwenye simu yangu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

Download na install program mbili nilizozitaja hapo, angalia kama tatizo limeisha.
 
kama ni sumsung nenda store download CLEAN MASTER.

swissme
 
Asante Kang, nitakurejeshea kitakachojiri.
 
Back
Top Bottom