wandugu salamu, naomba msaada wenu maana hapa natamani kulia maana kila nikiingia kwenye page nazozitaka hata jamiiforums natolewa na kupelekwa page nyingine ya matangazo ama alibaba primier au...
Simu yangu imepoteza majina gafla, nilikua nasave majina yote kwenye google account, nimejaribu njia ya ku back up hizi contacts nimeshindwa kabisa.... naomba msaada wakuu....
Ndoto husababishwa na wadudu ambao wanaingia ubongo wa wanadamu na wanauwezo wa kuchochea fikra na matendo kwa binadamu. Wadudu hawa ambao wanauwezo wa kuchochea fikra kwa binadamu, wadudu hawa...
Salaam,
Wakuu naomba msaada wa mawazo. Mimi naishi Dar na Morogoro, Nina kompyuta zaidi ya hamsini (ambazo ni desktop), zimetumika (used) lakini zipo kwenye hali nzuri kwa maana ya processor...
wadau hivi ina wezeekana samsung galax ace 5830i kuweka new version ya 4.2.2 na kama inawezekana naomba mnijuze wadau jinsin ya ku install hyo version
Asanteni
Robots to declare war on humans within 25 years, claims intelligence expert
By Mirror Updated Thursday, January 7th 2016 at 15:27 GMT +3
Canada: Humans and robots could be locked in a brutal...
computer yangu desktop aina ya compaq sijaitumia miaka mingi lakini nilipoiwasha inawaka na kuniambia "Power-on-Password" nimejaribu kwenda setup imegoma, nimebadilisha hard disk maneno yanakuja...
USB SAFISHA is software which can easily be used to recover deleted or hidden files affected by virus, from your USB memory. USB SAFISHA is fast and efficient which can be used by anyone without...
simu tajwa hapo juu ina tatizo la kujirestart yenyewe na imekataa kutofomatika kwa vyovyote vile (kila nikifomati baada ya kureboot inarudi kama ilivyokuwa mwanzo) nimetumia njia iliyopo humu:-...
Habari zenu wakuu!
Nataka kujua katika sekta za usafiri, mawasiliano, makazi n.k, ni utaalamu gani ulio juu mpaka sasa?
Kwa mfano, kwa teknolojia ya sasa kuna gari linaweza paa angani na...
Nina pc yangu ya dell hizi ndogo na screen yake imevunjika na imevuja kwa ndani,naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kutengeneza na bei yake?nipo dsm mbezi
Wakuu kheri ya mwaka mpya .
Naomba nipatiwe msaada, Niko na PC Hp ilikuwa naweza ku connect wireless kwa kutumia simu ama sehemu ypyote yene wifi naweza ku connect kama nina password, ila...
Wanajamvi habari zenyuuu....!
Naomba msaada wa pin code niformat simu yangu ya Ideos, maana camera yake haioneshi na nimeambiwa ni virus ambayo suluhisho lake ni kuifomat.
Kwa mwenye ujuvi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.