Ukweli kuhusu app ya Smart Tz

Ukweli kuhusu app ya Smart Tz

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,909
Reaction score
3,218
wanajf kuna upepo wa application inayovuma kwa kas kua ina uwezo wa kuksmata mawasiliano ya mpenz wako
je kuna ukweli kwa wake mlioitumia maana ukiwa katika hatua za kuipakua unaombwa pesa je kuna yoyote imemsaidia na hakuna kelele za utapel maana kuna malalamiko ya chinichin kua ni matapeli na jana nimeona halima mdee kaitangaza
 
hamna chochote, ukishatuma hela ukijaribu ku download haifai labda kwa sasa kama wamerekebisha
 
wanajf kuna upepo wa application inayovuma kwa kas kua ina uwezo wa kuksmata mawasiliano ya mpenz wako
je kuna ukweli kwa wake mlioitumia maana ukiwa katika hatua za kuipakua unaombwa pesa je kuna yoyote imemsaidia na hakuna kelele za utapel maana kuna malalamiko ya chinichin kua ni matapeli na jana nimeona halima mdee kaitangaza
Ametangaza kuwa confermed au magumashi? Cjakuelewa mkuu.
 
Ametangaza kuwa confermed au magumashi? Cjakuelewa mkuu.
anailaumu serikal kwa nn haimsapot mtanzania aliegundua hii kitu mpaka wakati kenya wanataka kununua kupitia safar com
 
anailaumu serikal kwa nn haimsapot mtanzania aliegundua hii kitu mpaka wakati kenya wanataka kununua kupitia safar com
Sometime ni kujitia magonjwa kwasababu ya kuingilia faragha za watu ambapo ni kinyume na sheria za nchi yetu kama amevumbua sawa lakini kwa mtindo huu tegemea madaktari wengi zaidi wa BP kwa wapenzi kuliko malaria kwa wagonjwa.
 
Sometime ni kujitia magonjwa kwasababu ya kuingilia faragha za watu ambapo ni kinyume na sheria za nchi yetu kama amevumbua sawa lakini kwa mtindo huu tegemea madaktari wengi zaidi wa BP kwa wapenzi kuliko malaria kwa wagonjwa.
issue si sheria au uhalali wake suala inafanya kazi kweli au wez tu
 
anailaumu serikal kwa nn haimsapot mtanzania aliegundua hii kitu mpaka wakati kenya wanataka kununua kupitia safar com
hili neno kugundua tunalitumia vibaya sana, na nna wasi wasi pia huenda unafanya marketing. hio app imeshazungumziwa humu na watu kibao wameliwa hela zao ni vyema watu kujiepusha nayo na kuwaonya wengine
 
Nenda kwenye jukwaa la matangazo mkuu, ..
 
Back
Top Bottom