mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,171
- 1,763
Habari wadau,
Kwa yoyote mwenye ujuzi wa simu hasa zile zilizotumika China, nyingi zinakuwa na tatizo la kutoweza kupiga ussd codes kama za mihamala ya simu, au ya benki mfano *150*60#.
Kucheki salio la kawaida haina shida. Kuna simu iliagizwa huko na mtu inamsumbua hizo USSD codes. Tayari iko rooted na ina custom rom, sasa sina uhakika kama ukiiflash official firmware au na baseband nyingine itaweza kurudi sawa.
Simu ni LG G2 version ya korea au kwa jina jingine ni LG G2 F320
Kwa yoyote mwenye ujuzi wa simu hasa zile zilizotumika China, nyingi zinakuwa na tatizo la kutoweza kupiga ussd codes kama za mihamala ya simu, au ya benki mfano *150*60#.
Kucheki salio la kawaida haina shida. Kuna simu iliagizwa huko na mtu inamsumbua hizo USSD codes. Tayari iko rooted na ina custom rom, sasa sina uhakika kama ukiiflash official firmware au na baseband nyingine itaweza kurudi sawa.
Simu ni LG G2 version ya korea au kwa jina jingine ni LG G2 F320