Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani wadau nauliza jinsi ya kufungua google play store account. Naombeni ushauri wenu Ahsanteni.
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Wakuu je graphics card zenye heatsink ni nzuri kuliko zenye fan
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie Nina mordem inatumia laini ya voda tu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimesikia hii TV ina uwezo wa kuonyesha picha bila kupitia king'amuzi,ni kwa vipi?msaada!
0 Reactions
12 Replies
6K Views
wadau habari zenu, Nina kiblog changu kina adsense na nimeset trick moja hivi ya kuniongezea mpunga na kinaongeza haswaa, swali langu hivi click halali zinaangaliwa kwa siku au kila baada ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, nimeleta uzi huu maalum kwa wale wataalam wa kutengeneza android applications na pia kwa wanaotaka kujifunza kwani kwa ulimwengu wa sasa dunia imehamia katika viganja vyetu...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Habari ndugu wana Jf poleni na majukumu ya kila siku kuna jamaa anataka kuniuzia iphone 4 kwa sh 170,000 ila ina tatizo la kufungwa laini inatumia laini za at&amp je inawezekana kuifanya simu...
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Habari zenu wana jamvi msg hiyo hapo juu imekuwa ikitokea mara kwa mara kwenye simu yangu naombeni ambaye anauwezo wa kunielekeza namna ya kuitoa anielekeze natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Watumiaji wa simu za iPhone 6 (walio pakua iOS mpya) ambao walitengeneza simu zao kupitia mafundi ambao hawajaandikishwa na Apple wamepatwa na hali ya sintofahamu baada ya simu zao kufungiwa baada...
2 Reactions
68 Replies
11K Views
nikitaka kupiga picha inaleta message there is not enough available storage.nimefuta vtu vyote bado inagoma nmeenda kwenye setting ku erase all content and setting inassema passcode failed naomben...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu kuna hii simu ya Startimes imekuwa ikitangazwa sana na vyombo vya habari japo bado sijaiona. Ningependa kujua ambaye ameitumia Startimes Faith 1 aniambie ubora wake na kama ina NFC!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
India wamezidua smartphone maridadi ya dollar nne:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ama kweli Vodacom Tanzania ni wanyonyaji sana, baada ya kuwaibia sana watanzania kwa kuwapa dakika ambazo ukiongea hata sekunde 5 zinakata dakika nzima na wananchi kulalamika sana walirekebisha...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wataalamu wa jamiiforums naomba msaada wenu simu yangu aina ya TECNO H7 imegoma kufungua video kwenye WhatsApp
0 Reactions
3 Replies
2K Views
PC yangu (Toshiba) nilikuwa nacheki movie huku nimeiweka kwenye godoro kwa muda mrefu, ghafla ikazima. Nikiwasha inatoa signal kama imewaka lakini kioo hakionyezi kitu chochote na taa ya chaji...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu! me nipo mbeya, king'amuzi cha startimes hakioneshi baadhi ya chanel kama TBC na CHANEL 10! Nazipataje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina min ipad version 9.2.1.natafuta mtalaam ambaye anaweza kuijail break. Kama unaweza hii kazi ni pm. Namba yako. Nipo dar.
0 Reactions
2 Replies
912 Views
Habari wakuu. Kama heading inavojieleza, ninatumiw Samsung Galaxy J1 kila nikitumia instagram kwa muda kama dakika 15 app inajitoa yenyewe kama vile nimequit. Msaada please
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Habari wakuu pole ni na majukumu . Nimekuwa nikijuiliza kuhusu hili ila nimeshindwa kupata majibu hivyo naliwasilisha kwenu kupata ufafanuzi. Kumekuwa na receiver mbalimbali ambazo zimekuwa...
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Nataka kuagiza simu ya $ 300 online ( Amazon.com) , Wadau itatozwa kodi kiasi gani, na ni kodi zipi zinatozwa ukiagiza simu online? Thanks.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom