Wadau najua wengine mnafahamu haka kautundu, ila kwa faida ya wasiokajua.Naomba nielekezwe jinsi ya kulogon kwenye administrator account bila kuwa na password yake.Ni kama ifuatavyo
1.Fungua...
UPDATE
Wadau vitu vizuri ule na wenzio.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii trick inayosaidia kuifanya Fire fox kuwa nyepesi hivyo si vibaya kushare na wengine.
Mchezo wenyewe upo hivi:-...
Habari wakuu!!
Sijakosea kichwa cha TOPIC. ni kweli kabisa.
Si kila computer unayokaa tu anaazatu kuinstall masoftware...tena micomputer mingine hadi uwe Administrator ahaaa
hasa wengine mfano...
Huwezi kutumia internet kwa matumizi ya kawaida bila kutumia Web browser. Hii ni interface
inayotuwezesha kufungua blog, websites na progams nyingine za Internet.
Kuna aina sita za Web...
Je una Laptop na smart phone? Na je ina internet bundle? Na je unahitaji kutumia internet kwenye komputer yako?
Kama majibu ni ndio, basi unauweza kutumia simu yako kupata ama kutumia internet...
Nina uhakika kila mtu anapenda njia za mkato na mbinu mbalimbali wakati anapokua anatumia kompyuta yake. Sasa basi zifuatazo ndio njia na mbinu mbalimbali unazoweza tumia ukiwa katika mtandao kwa...
Niaje wakuu leo tutazungumzia hili swala, wengine wanaweza sema LOL! mbona nisha activate win8 yangu zamani kabisa.. well you thought wrong..
Kwanza ilitoka activator ya kwanza na I think ni...
Waheshimiwa hamna haja tena ya kutumia Patch for cracking IDM au kutumia version ya zamani na kuogopa kuupdate coz of ukiwasha pc itakudai keys upya
kwa wale wasioijua Internet Download...
Ngoja tuendelee kuona sehemu ya pili ya maujanja kama nilivyopromic,najua itawasaidia some members humu jamvini. Tuanze sasa!!
1.NOTEPAD
Wale wapenzi wa kutumia notepad kuandika baadhi ya...
wadau naomba msaada kwenu,simu yangu aina ya lumia 640 ilitaka ni update whatsapp, nilijaribu ku update ikataka niwe na Wi fi, nikajaribu kutoa version iliyokuwepo ili nidownload upya lakini bado...
Habari wakuu.
Naomba kuuliza. Nina TV ( frat screen ) inayotumia umeme wa DC . Swali langu ni je ninaweza kuconect playstation kisha nikacheza game??? na je kuconect Deck ya DVD?.
NB: TV...
hili nimeuliza mara kadhaa kwa lengo pia la kusaidiana wote. mfano nina dish la dstv lakini sina pesa ya kulipia hata ile bundle yao ya bei ya chini kabisa kutokana na ukata. je haman namna ya...
Wakuu, nimetembea tembea baadhi ya mitandao ila kwa kweli kwa hii speed ya Vodacom kwa sasa inanifanya nisite kuhamia mtandao mwingine kwa maana natumia hotspot ya simu yangu kuaccess kwenye...
nimekuwa niki experience jambo hili kila mara hasa inapofika weekend tv hizi zimekuwa wakati mwingine hazipatikani mpaka jumatatu au wakati mwingne zinachukua muda mwingi kidogo.
antenna inakuwa...
Nimekuwa nikiwaza jambo hili kwa kina. Kutokana na kuwa na uwezo mdogo kiuchumi sometime watu wamekuwa wakiwaza namna gani ya kurahisisha maisha. na hapa nikapata wazo kwa kuwa najua humu ndani...
Leo nilikua napiga pc yangu window ikianza kuinstall ikifika asilimia 81% inaganda haisogei naomben msaada wadau shajaribu mara nyingi ila ikifika hapo inagoma
Free Vodafone v785 Unlock Codes !!!!!
Natoa 10 free codes za Vodafone V785.
Yaani watu 10 wa mwanzo watapata free codes.
Tuma IMEI NUMBER ZAKO UTAPATA FREE CODES
kwa wale wa Huawei Y330 na Y530...
Habar zenu waheshimiwa samahan naomba mnisaidie jinsi ya kirudisha original imei ya simu yangu mara nyingi nimekuwa nikibadilisha badilisha kutokana na baadh ya vitu navofanya lakin nasahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.