Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kisimbusi changu cha Qsat q15 g kinashindwa kuunga (link). Inatoa ujumbe huu. "No Dongle Device" Nimeki update hivi karibuni. Muda mrefu nilikuwa sikitumii. Shida ni nini na inatatulikaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekaa hapa naumiza kichwa wadau nikijiuliza ni bank gani nzuri ambayo itanisruhusu kufanya online transactions kwa gharama ndogo, wajuzi wa online banking naombeni mnsisaidie...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Wakuu habari,nimejaribu kutengeneza php reg form, pia niwetengeneza database yenye table na field zote kama nilizo create ktk forms. sasa nashindwa kutengeneza connection ili mtu akishajaza ile...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Comodo Dragon 30.0.0.0 | 38.64 MB Comodo Dragon – fast and versatile Internet Browser based on Chromium, infused with Comodo’s unparalleled level of Security! The Comodo Dragon has taken the...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa mwenye kujua wakuu naomba anisaidie kama kuna chuo au sehemu yyt Dar inayotoa mafunzo ya computer language programming tuu Kama ni C# Java Python PhP etc Note: najua kuna tutorials YouTube...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tecno yangu ni ya promotion, kitu ambacho ni tatizo kwangu ni kuwa line ya 2 haiwezeshi 3g. Pia Nauliza nawezaje kuifanya line ambayo si ya tigo iwe inakubali kuwa ya kwanza???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mnielekeze application kwa simu ya android ambayo nikiwa nasoma kitu online naweza save kwenye hiyo application.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
habari za majukumu, tafadhalini mwenye uzoefu na cost za network cable installation na system nzima ikiwemo wall socket etc. room 5, computer 7 room moja na room zingine computer moja moja. hapa...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Tangu jana natumia mtandao wa viettel kiukweli upo fasta Sana na 3g Yao. Wanafanya majaribio tu lakini nimewakubali,ngoja tusubiri uzinduzi rasmi wiki ijayo
0 Reactions
302 Replies
50K Views
Habari za humu wakuu.... Nina Laptop yangu inatakiribani siku 4 , nikiwa nafanya kazi ina stack ña kuleta ujumbe Wa "' YOUR COMPUTER MEMORY IS LOW, RESTART TO CONTINUE "...... na blaa blaa...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Habari za kwenu wadau ! natafuta display za samsung s3 GT-i9300 rangi ya Pebble blue , samsung galaxy s2 GT-i9100 rangi nyeupe na galax s2 GT-i9105 za bei rahisi .nipo Arusha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu, Kama kichwa kijielezavyo hapo juu endapo una swali lolote kuhusu adsense u may ask UTAJIBIWA, Karibuni!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
jaman nilikuwa nahitaji wataalamu wenzangu ili tuwe tunajadiliana kuhusu jinsi ya urekebishaji amplifier, inverter, converter, sub woofer. Mimi na uwezo wa kuviunda hivyo vyote sasa nilikuwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwanza heshima kwenu wana JF, Mwenzenu nahitaji kujua, nimejenga nyumba mpaka sasa imefikia hatua ya kupiga linta. Nilichotaka nijue hapo kwenye linta fundi kaniambia inatakiwa nondo zitembe nne...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
anaejua tafadhali.nina rcver mpeg 2 dish la zuku
1 Reactions
6 Replies
6K Views
ndugu zangu wanajamvi, leo nimekutana amplifier ambayo iliundwa na mzee fulani mtaalamu sana wa haya mambo hapa iringa mjini, yan nimeshangaa kuona ametumia transistor BU508A NPN transistor...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama nilivyoeleza hapo juu nikama wiki tatu zilizopita walinitumia barua kwa DHL ikitoka katika oficce yao ya kenya kuwa natumia software ambayo siyo genuine na haiko lincesed wakaendelea zaidi na...
2 Reactions
58 Replies
17K Views
Nisaidieni tafadhali kwa sababu vitu nilivyoweka hata MB 50 hazifiki
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Here is the real deal after waiting for some times here is a change we have been waiting. Not so much but to bring the old memory card slot does the job for most of us who love to have our...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom