Raaj
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 205
- 29
Habari ndugu wana Jf poleni na majukumu ya kila siku kuna jamaa anataka kuniuzia iphone 4 kwa sh 170,000 ila ina tatizo la kufungwa laini inatumia laini za at& je inawezekana kuifanya simu hiyo itumie laini za nyumbani na itanigharimu sh ngapi?
Thanks in advance
Thanks in advance