Kusahau password hasa kwenye computer/ laptop inakera. Hii inasababisha upotevu wa mafail muhim pale unapoamua kupiga window chini na kuanza upya, Ila kuna njia ambayo ni rahisi sana kureset...
Habari zenu wadau!
NatumiaTecno,sasa leo nikarestore factory. Baada ya hapo sikuweza tena kudownload apps,nikiingia playstore nichague app ya kudownload inatokea message "error retrieving...
Wadau wa Computer na vifaa vyake naomba msaada Flash disk zangu hazifunguki zinasema empty folder while ndani kuna saved file! Na nikiangalia properties disk iko na mzigo ila siwezi kufungua...
Ndugu jamaan a marafiki habari za humu, kuna library system inahitajika mahala so aliyenayo tuwasilianae.....platform yeyote as long as iko complete,ts business we can share coz we got the deal...
Hivi replacement glass ya lumia 535 inapatikana? Kwa siyeelewa ni kile kioo kinachofunika kamera ya nyuma. Kimepata scatches sana hadi picha zimepoteza ubora sasa camera ya mbele ni bora kuliko ya...
Just today, a free investigation found his girlfriend (boyfriend) mobile location site, the accuracy was 99%, mobile phone location accuracy range of 50 meters, even the streets can show amazing...
Wadau nimevutiwa sana na muundo wa JamiiForums kuanzia interface na functionality yake.
Naomba kujuzwa imetengenezwaje kuanzia programming languages zilizotumika au ufahamu wowote juu ya ilivo...
Heshima zenu wakuu naomba kuuliza ni Simu gani bora unaweza nunua sh 300,000 kati ya tecno c8 ama huawei p8 maana nataka inayo shika 4g na inatunza charge Mwenye kujua Jamani Msaada Simu yangu...
Ninataka kununua samsung galaxy note 4,
Tatizo langu ni kwamba sina uzoefu nazo,ila nimewahi kusikia kuwa kuna codes ukiingiza itakuonesha kama ni original au ni clone,kwa mwenye utaalamu na...
Sometimes it happen you have many files you need to organize bt you cannot. I had 700+ files to organize into folders, something like:
1.Unajibu Maombi album.mp3
blah_blah2.pdf
2.Unajibu Maombi...
Habarini wakuu kuna jamaa yangu hapa anataka ku upgrade window 8.1 yake kwenda window 10 ila tatizo ni window 8.1 anayotumia haipo activated. Aki download window 10 inamwambia lazima aweze ku...
Nimefanya installation ya Window 8.1 Pro katika laptop yangu HP 630, HDD 500GB processor i3,Ram 4GB tatizo niki~install baadhi ya vitu vilivyopo mfano cambridge dictionary na baadhi ya magemu...
Ulisha wahi kukaa na kujiuliza kuwa ipo siku simu za Android zitaweza kuingia windows kama zilivyo simu za microsoft lumia au kama computer?
sasa n kwambie tu kuwa swala hilo linawezekana kwa...
Habari wakuu, natumia HP elite book 6930p, nimepata matatizo mawili,
1.program ya AVG haitaki Ku unstall.
2.pointer ya mouse kwenye touch pad haikubali double click Kama nataka kufungua faili au...
Habari wana JF
Natafuta site ambayo inaprovide free hosting kwan nataka kutest website yangu, pia hata mtu alie mbali namimi nataka aione kwanza alafu ndo ntafanya decision ya kununua hosting plan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.