Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wakuu. Juzi Kati nilipeleka simu kwa fundi kubadili system charge na akabadili. Ila baada ya hapo simu imekua inapoteza Sana mawasiliano yaaani unakuta line haisomi kana kwamba hakuna...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Macbook pro 15 inch Retina, 512gb ssd, 8gb memory, 2.6 procesor core i7 for 1.3m call 0769038065
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natumia window ubuntu ila computer yangu hai play video wala audio mwanzoni nilikua nikitumia window 7 hapakua na tatizo naomba mnisaidie kwa anaefaham tatizo.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Samahani wadau. Naomba mnisaidi program ya pdf ili nitengeneze document fulani. Natanguliza shukurani....
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Math mark up language <math xmlns="http://www.w3.org/1998/Math/ MathML"> <matrix> <matrixrow> <cn> 0 </cn> <cn> 1 </cn> <cn> 0 </cn> </matrixrow> <matrixrow> <cn> 0 </cn> <cn> 0 </cn>...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Habari zenu wana JF, Mimi natumia king'amuzi cha Bahresa, napenda huwa ina sehemu ya record unaweza ku-record movies kwa kutumia USB flash lakini baada ya kurecord hauwezi kuplay kwa kutumia pc...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
Kwenye masuala ya digital wenyewe wanadai taarifa zinakuwa katika mfumo Wa 0 na 1 tu. Sasa wadau hii inakuwaje maana vyombo husika ni vya kielektroniki na taarifa zinasafirishwa kwa mfumo Wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nchi nyingi wanasayansi wanahangaika ni namna gani wataweza kumwezesha mtu mwenye ulemavu wa kuona aweze kutembea katika mazingira yenye vizuizi bila shida. Nimejaribu kwa kiwango changu,na...
7 Reactions
12 Replies
3K Views
Habara wakuu Mimi nahitaji kujifunza programming languages Je nianze na language gan? Na je naweza kujifunza online Au km naweza pia kutumia pdf Au ppt Asanteni
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Wapendwa wana jf nina computer yangu dell latitude inaleta rangi rangi kama mawingu kwenye monitor mpaka nashindwa kuendelea na kazi zangu kwenye computer yangu. Jamani msaada tafadhari wana janvi
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Una sim na unawaza ufanyaje ili isipotee?/ ama ikipotea ipatikane? Umepoteza sim na unawaza ufanyaje ili kuipata? je umepata sim yako ambayo uliipoteza ila hujui uanze kufanya kipi majibu yote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikua natumia kaspersky kwa window 7 gharama zikanishinda kwan inakaa kwa mwaka tuu ina expire nikahamia avast sasa hii ni nzuri kwani ni forever elf15 tuu wa enjoy milele 99yrs of expiration...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Wengi wanapata shida wanapotaka kununua sim mkononi kwa mtu kwa sababu za uaminifu na related concepts. Well leo nakuja na jibu/ solution ya hii. Ukimaliza kusima hapa nakuhakikishia utakua expert...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Habari zenu jaman Msaada,,. Jinsi ya kufungua email iliyojifunga.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Narudia hakuna anaopenda upoteze sim ila hii hutokea kama ajali. Zifuatazo ni mbinu simple za kupitia ili kulinda sim yako endapo itapotea.
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Hii ni simple ila inaweza ikashangaza sana rafiki zako. Huitaji noledge ya IT kufanya haya Grab your laptop na fuatana na mimi katika hii short video. Mwisho wa siku naamini utakua na majibu...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Habari zenu humu jf naombeni msaada wa application ambayo huweza kunibadilishia maandishi kwenye icon yaani Screen icon menu kuwa na muonekano tofauti wa kimaandishi napendelea hasa ule mnyorongo...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Bonyeza hapa Nishauri kuhusu field Bonyeza hiyo link hapo juu tafadhari
0 Reactions
6 Replies
844 Views
wakuu habarini kwanza, nina shida kwenye simu yangu aina ya samsung galax hivi karibuni imeanza kuonesha kuwa imejaa huku kuna nafasi bado kubwa tu ya kutosha nikaamua kufuta kila kitu hadi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
je,wewe ni muhitaji wa account ya adsense alikini umekuwa kila ukifanya aaplication unakataliwa,tafadhali ninauza account ambazo zipo tayari unachukua na kauanza kupiga pesa. pia tunauza...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Back
Top Bottom