LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
Ninataka kununua samsung galaxy note 4,
Tatizo langu ni kwamba sina uzoefu nazo,ila nimewahi kusikia kuwa kuna codes ukiingiza itakuonesha kama ni original au ni clone,kwa mwenye utaalamu na uzoefu wa hii kitu naomba msaada,nini cha kufanya kabla ya kufanya malipo,maana kuuliza si ujinga..
Tatizo langu ni kwamba sina uzoefu nazo,ila nimewahi kusikia kuwa kuna codes ukiingiza itakuonesha kama ni original au ni clone,kwa mwenye utaalamu na uzoefu wa hii kitu naomba msaada,nini cha kufanya kabla ya kufanya malipo,maana kuuliza si ujinga..