Msaada ku unlock phone screen kwa parten simu ni Htc sprint 4g

Msaada ku unlock phone screen kwa parten simu ni Htc sprint 4g

Hollyreath

Senior Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
126
Reaction score
12
Jaman msaada,,,simu yangu mdogo wangu aliniomba atumie internet kwa facebook,sijui imekuwaje,ameiwekea simy lock kwa parrten,,na hakumbuki alivyoweka,,naomba msaada tafali jinsi ya ku unlock hiyo simu
 
Kama kweli simu ni yako...na uliisajil na google account umeshindwaje kuifungua.maana mimi kwa uzoef wangu wa kutumia sim za android ..ikiji lock unaifungua kwa goole account...napata mashaka kama sim ni yako kweli..maana inawezekana ni ya wizi ila umekutana na patern imekushinda..JF umeingiaje sasa au umetumia computer...mhh.? Mawazo yangu tu hayo
 
Hapo fanya hard reset tu na kama huwa hufanyi data backup ndo itakuwa imekula kwako
 
Kama kweli simu ni yako...na uliisajil na google account umeshindwaje kuifungua.maana mimi kwa uzoef wangu wa kutumia sim za android ..ikiji lock unaifungua kwa goole account...napata mashaka kama sim ni yako kweli..maana inawezekana ni ya wizi ila umekutana na patern imekushinda..JF umeingiaje sasa au umetumia computer...mhh.? Mawazo yangu tu hayo

mmnnh,mwenzangu nakweli nimawazo yako,,ayah bhana
 
Kama kweli simu ni yako...na uliisajil na google account umeshindwaje kuifungua.maana mimi kwa uzoef wangu wa kutumia sim za android ..ikiji lock unaifungua kwa goole account...napata mashaka kama sim ni yako kweli..maana inawezekana ni ya wizi ila umekutana na patern imekushinda..JF umeingiaje sasa au umetumia computer...mhh.? Mawazo yangu tu hayo

duh bro nami wakati nasoma thread niliwaa hivyo hivyo coz kama ikijiunga inakupa maneno yanayokwambia uingize email ili kuendelea kuitumia tena wala sio kazi its for three minits
uhuuuuuu
 
Back
Top Bottom