abuusamira
Member
- Dec 5, 2012
- 29
- 5
habari za mapumziko ya wiki wanajukwaa. Nina betri ya solar ya volt 12,kwa kuwa pia laptop zinatumia mfumo wa dc ,nawezaje kutumia bila ya inverter?msaada tafadhali
habari za mapumziko ya wiki wanajukwaa. Nina betri ya solar ya volt 12,kwa kuwa pia laptop zinatumia mfumo wa dc ,nawezaje kutumia bila ya inverter?msaada tafadhali[/QU
HIvi hiyo kitu inawezekana ee! kama ka idea kanakuja, ngoja wataalamu wa umeme waje watupe ujuzi wao
Unataka umunanishe kwenye chaji au wap. Kama kwenye chaji haitawezekana input ya chaj inapokea ac v110-220
Soma specifications za adapter yako mkuu, Then angalia hio batery ni N ngapi zidisha na volts upate power kisha soma power rating ya laptop yako. .!
Soma specifications za adapter yako mkuu, Then angalia hio batery ni N ngapi zidisha na volts upate power kisha soma power rating ya laptop yako. .!
Soma specifications za adapter yako mkuu, Then angalia hio batery ni N ngapi zidisha na volts upate power kisha soma power rating ya laptop yako. .!
Soma specifications za adapter yako mkuu, Then angalia hio batery ni N ngapi zidisha na volts upate power kisha soma power rating ya laptop yako. .!
shukran mkuu, adapter yangu inaniambia input 100v -240v. na output ni15v na 5A. pc yenyewe ina 5 A. na 15v. ama kuhusu hii betri yangu ni 18AH.Soma specifications za adapter yako mkuu, Then angalia hio batery ni N ngapi zidisha na volts upate power kisha soma power rating ya laptop yako. .!
Yah inawezekana Mkuu kwa kutumia power adapter ya laptop ambayo inatumia umeme wa dc 12V,binafsi nnayo nliagiziaga China maana Kariakoo wanauza bei mbaya..kwa bahati mbaya skuwah kuitumia toka ije maana sina Source ya dc so waweza nichek kama itakuwa compatible na Laptop yako nikuachie kwa Hela kdogohabari za mapumziko ya wiki wanajukwaa. Nina betri ya solar ya volt 12,kwa kuwa pia laptop zinatumia mfumo wa dc ,nawezaje kutumia bila ya inverter?msaada tafadhali
Mara ya mwisho Kariakoo waliniambia elfu 55,mimi nlinunua Mtandaoni nje haikuzid hata elfu 30..ni nzur maana unatumia hata na Battery ya Gari na uzuri ni kwamba unatumia kwa aina yoyote ya Laptop maana unapewa na kila aina ya pin ya kuchomeka kwenye Laptop so unachagua wewe tu kutegemea na tundu la kuchajia Laptop yako.mkuu olsea, hiyo kitu yaweza kufika hela ngapi?