Swali: Smile 4G Unlimited bundle

utakuja

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
990
800
Habari za siku wakuu, leo hii nilikuwa katika pita pita zangu kwenye mtandao nikakutana na hii
883e0c4b4a7e04615e3f0bad6a6cc7c5.jpg


Sasa watumiaji wa huu mtandao naomba maelezo kidogo.
Je;

Kweli ni unlimited au ni unlimited zetu za kibongo zile za ukifika *GB flani unapunguziwa speed?
 
usage policy

smile said:
Smile needs to ensure that all of its Customers, as members of the Smile Community, have fair and equal use of the services. It also has the right to protect the integrity of its network. Smile therefore reserves the right to take reasonable steps to prevent improper or excessive usage of the network. Smile may amongst other things, limit throughput, and prevent or limit service through specific ports or communication protocols.

cheki hapa
Smile Usage Policy – Smile – Now you can

lazma baada ya gb fulani watashusha speed
 
Yeah nilivyo kuwa natafuta more info kuhusu hiyo nikasoma ikanishituwa kidogo, ndio maana nikataka kujua hii "excessive usage" kwao ina maana gani.. Ni above 30gb, 50gb, maana 125, 000 ni pesa ndefu kuniwekea cap ya let's say 10gb
jaribu kuwapigia

mimi kwa 4g natumia gb 90 za tigo kwa miezi 3 kila unaponunua kifaa cha 4g.

nunua modem yao kwa 60,000 chukua gb zako 90 then uza modem kwa bei ya mkononi
 
kwa kuwacheki juu itakua sio Unlimited kwa maana ya Speed.
Sababu wana 20GB kwa 155,000/=

Itakua wame Set kama 15GB zikiisha wana Cap,Ila katika maelezo ya Unlimited hawaja Specify kama kuna Cap baada ya GB fulani

I think wameamua kukopa Neno Unlimited kwa mitandao ya 3G kwa malengo ya kibiashara na best way nikuwa Call upate msaada zaidi maana ukizubaa ukikulupukia umeisha!
 
Habari za siku wakuu, leo hii nilikuwa katika pita pita zangu kwenye mtandao nikakutana na hii
883e0c4b4a7e04615e3f0bad6a6cc7c5.jpg


Sasa watumiaji wa huu mtandao naomba maelezo kidogo.
Je;

Kweli ni unlimited au ni unlimited zetu za kibongo zile za ukifika *GB flani unapunguziwa speed?
Mimi ni mteja wa smile(new customer). Ukweli ni huu, hiyo unlimited package ya 125,000/= for 30 days ina limitation ya speed. Utapata high speed up to 25GB. Baada ya hapo wanabana speed(you will get only 0.52Mbps).

Pamoja na hayo, kabla sijafikia kiwango hicho cha 25GB, most of the time max speed nilikua napata 2Mbps. Niko Morogoro(smile network imeingia miezi michache iliyopita).

Speed hiyo ya 2Mbps kiukweli ilikua ina nilimit kuangalia HD contents live streaming. Sana sana ni SD contents ndio nilikua nawatch bila mgando kabla sijafikia hiyo limitation.Bado hawajakidhi haja zangu. Na wako very expensive.

For the time being nimeamua niendelee kubaki Halotel na kifurushi cha 15GB for 35,000/= per month. Ingawa na wao sometimes signal ziko weak.
 
Mimi ni mteja wa smile(new customer). Ukweli ni huu, hiyo unlimited package ya 125,000/= for 30 days ina limitation ya speed. Utapata high speed up to 25GB. Baada ya hapo wanabana speed(you will get only 0.52Mbps).

Pamoja na hayo, kabla sijafikia kiwango hicho cha 25GB, most of the time max speed nilikua napata 2Mbps. Niko Morogoro(smile network imeingia miezi michache iliyopita).

Speed hiyo ya 2Mbps kiukweli ilikua ina nilimit kuangalia HD contents live streaming. Sana sana ni SD contents ndio nilikua nawatch bila mgando kabla sijafikia hiyo limitation.Bado hawajakidhi haja zangu. Na wako very expensive.

For the time being nimeamua niendelee kubaki Halotel na kifurushi cha 15GB for 35,000/= per month. Ingawa na wao sometimes signal ziko weak.
umejaribu kucheki speed ya smart hapo morogoro? kama wana speed nzuri unlimited yao ni ya ukweli
 
Mimi ni mteja wa smile(new customer). Ukweli ni huu, hiyo unlimited package ya 125,000/= for 30 days ina limitation ya speed. Utapata high speed up to 25GB. Baada ya hapo wanabana speed(you will get only 0.52Mbps).

Pamoja na hayo, kabla sijafikia kiwango hicho cha 25GB, most of the time max speed nilikua napata 2Mbps. Niko Morogoro(smile network imeingia miezi michache iliyopita).

Speed hiyo ya 2Mbps kiukweli ilikua ina nilimit kuangalia HD contents live streaming. Sana sana ni SD contents ndio nilikua nawatch bila mgando kabla sijafikia hiyo limitation.Bado hawajakidhi haja zangu. Na wako very expensive.

For the time being nimeamua niendelee kubaki Halotel na kifurushi cha 15GB for 35,000/= per month. Ingawa na wao sometimes signal ziko weak.
35,000/= kwa 15GB za halotel afu bado unasema Signal is weak ningeshauri utazame Tigo 4G kuna kifurushi kama hicho nakionaga kwenye Internet portal yao!
 
Speed nimekua nacheki several times. Mwanzoni wakati naanza kutumia ilikua inasoma mpaka 10Mbps. Lakini baada siku chache tu za kutumia nikawa kila nikipima speed nakuta inacheza around 2Mbps. Nikaenda mpaka nilipofika 25GB basi ndo majanga. Nikapigwa speed governer. Ndo nikaambulia 0.52Mbps. Nilihamaki why speed imekua mwendo wa kobe??? Ikabidi niwasiliane nao. Basi ndo nikapewa hayo maelezo. Bundle ambazo hazina hii limitation ni zile sio unlimited.
 
35,000/= kwa 15GB za halotel afu bado unasema Signal is weak ningeshauri utazame Tigo 4G kuna kifurushi kama hicho nakionaga kwenye Internet portal yao!
Kaka huku kwetu niishipo tigo is more worse. 4G yao kwanza ipo town tu. Na 3G nayo iko on off. Kiufupi ni halotel tu ndo wana afadhali. Wengine wote kwa maana ya tigo,voda,airtel ni majanga.
 
jaribu kuwapigia

mimi kwa 4g natumia gb 90 za tigo kwa miezi 3 kila unaponunua kifaa cha 4g.

nunua modem yao kwa 60,000 chukua gb zako 90 then uza modem kwa bei ya mkononi
Duh, Mkuu sijawahi fikiria kufanya hichi kitu.. Kweli bonge la idea Alafu ni a very cheap alternative.
 
kwa kuwacheki juu itakua sio Unlimited kwa maana ya Speed.
Sababu wana 20GB kwa 155,000/=

Itakua wame Set kama 15GB zikiisha wana Cap,Ila katika maelezo ya Unlimited hawaja Specify kama kuna Cap baada ya GB fulani

I think wameamua kukopa Neno Unlimited kwa mitandao ya 3G kwa malengo ya kibiashara na best way nikuwa Call upate msaada zaidi maana ukizubaa ukikulupukia umeisha!
Yani inasikitisha sana mpaka leo Tanzania na fibre hizi wanazo pitisha mitaani kila kukicha lakini bado tuna pata limited Internet ambayo ni expensive.

Nilitaka ni communicate nao sema ndio vile tena majamaa g hawa wa smile wapo nyuma yani social media account zao hata kuzi update hawafanyi na mimi kupiga simu tabu.
 
Mimi ni mteja wa smile(new customer). Ukweli ni huu, hiyo unlimited package ya 125,000/= for 30 days ina limitation ya speed. Utapata high speed up to 25GB. Baada ya hapo wanabana speed(you will get only 0.52Mbps).

Pamoja na hayo, kabla sijafikia kiwango hicho cha 25GB, most of the time max speed nilikua napata 2Mbps. Niko Morogoro(smile network imeingia miezi michache iliyopita).

Speed hiyo ya 2Mbps kiukweli ilikua ina nilimit kuangalia HD contents live streaming. Sana sana ni SD contents ndio nilikua nawatch bila mgando kabla sijafikia hiyo limitation.Bado hawajakidhi haja zangu. Na wako very expensive.

For the time being nimeamua niendelee kubaki Halotel na kifurushi cha 15GB for 35,000/= per month. Ingawa na wao sometimes signal ziko weak.
Ahsante mkuu kwa maelezo, dah kweli TCRA wanabidi kusimamia hadi advertising za haya makampuni maana hata awakuweka Unlimited (* T&C) apply.

Lakini bado nzuri kidogo sema hiyo speed ndio sijailewa especially kwa kampuni inayojisifu kwa kuwa na 4g
 
Smile nzur kwa matumizi ya office kama kuupload na kudownload file ndogo na net yao ni ya uwakika mda wote,mm natumia smile na big router yao office kwangu nimeconnect computer 6 na ninalipa 18000/= kwa mwezi kwa 2GB coz wanasystem nzur ya kublock matumizi kama video,torrent,auto_ update na I cloud so nimeblock vyote nimeacha page na email use tu so matumizi ni madogo sana mpaka na furahi,hapa office ni kazi tu hakuna facebook wala nini ni kazi tu,wafanyakazi hawezi hata kufungua facebook ni email na webpage za kawaida,mm naipenxa coz nalipa kidogo sana na speed ni kubwa sana
 
Back
Top Bottom