Afrika yaanza kuja juu kitechnolojia!.... Kumekucha sasa!!

Warren T

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
664
409
cce62a4689cd84bf28d4cf2cd0a24e1d.jpg
 
Sasa hapo ndio kufanyaje, kwamba bike itakua haizami ukiendesha?
 
kunavitu vichache vya kurekebisha hapo back wheel water guard LA sivyo shati italowa sana!, na ktk bout la mbele chini aweke kitu kana kisu iwe steering.
 
Africa ni tajiri Kuna vijana tunagundua vitu vizuri tatzo hakuna support hatuhitaji kufaidika na ugunduzi wetu tunataka support tuboreshe kazi zetu ziwe Msaada Kwa jamii zetu
 
Africa ni tajiri Kuna vijana tunagundua vitu vizuri tatzo hakuna support hatuhitaji kufaidika na ugunduzi wetu tunataka support tuboreshe kazi zetu ziwe Msaada Kwa jamii zetu
kuna indiegogo, kickstarter na kampuni kibao ambazo kama una idea/working prototype unaweza ukaipeleka na watu wakakuchangia hakuna haja ya kulalamika

angalia baadhi ya project zilizofanikiwa
http://techloy.com/2014/01/22/12-african-technology-based-projects-successfully-funded-kickstarter

karne hii ya 21 kulalamika kuhusu support ni kisingizio tu ila internet inafanya hata mtu aliepo finland huko kukuchangia wewe
 
Back
Top Bottom