Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwa anayehitaj anitafute 0757247723 Tegeta nyuki ndo napatikana
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Ndiyo..natamani sana kujifunza kuchora au kubuni animation especially cartons kwa ajili ya magazine hapo mbeleni. Yeyote mwenye ujuzi na haya mambo anipe details na ikiwezekana contacts tujue...
0 Reactions
3 Replies
993 Views
Leo matangazo ya Azam morogoro hayapatikani,cjui tatizo nini
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie nataka kuangalia mpira online kwa kutumia simu je niwe na mb ngap kuweza kuangalia mwanzo mwisho
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Habari zenu wana jamii forum? Nina simu ambayo nilitumiwa toka America, inawaka na kufanya shughuli zote za internet kwa kutumia wi-fi ila nashindwa kuitumia kwa mawasiliano kwani inashindikana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumia galaxy j1 ace but nataka kujua maaana ya kuroot simu then kama ntaona inafaida nitairoot na hii Yangu.please wakina Chief mkwawa na wataalamu wengine nitoeni ushamba
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habar wadau... Flash yang ya 16 gb ghafla tu nikiweka kwa pc inanulza kuformat..niki format inagoma...inanambia "insert disc in a drive.." (haina phyaical damage yyote wala kuloa)
0 Reactions
2 Replies
605 Views
Nina ka pc flan iv nimejaribu kusearch ili ni activate ili niweze kufurahia Internet nimerajibu nimeshindwa je kuna option nyingine ya kuwasha Wi-Fi kwa kutumia keyboard maana ninaona icon...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Nimenunua laini mpya ya halotel nimefika nyumbani Internet haiendi nimegundua kwamba sehemu ya kujaza APN ipo wazi. Naomba mnisaidie jinsi ya kujaza.
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu , Tablet yangu internal storage ni 16 GB , Space niliyotumia kuhifadhi data ni 4 GB. Lakini kitu cha kushangazi kila nikifungua data naletewa Ujumbe kuwa "Data...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu....msaada wa kupata universal drivers za win8 ambazo resolution yake itazidi zaidi ya 1366x768. Nawasilisha. Msaada wenu tafadhali
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Brb!nilipenda hua tofauti Kati ya CMS na WCMS na zinafanyaje kazi .
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada wa kuweza kupata touch ya simu tajwa hapo juu,nimezunguka kariakoo nimekosa. Je kuna touch ya simu ya aina nyengine inayoweza kuingiliana nayo? maana nashindwa kutumia simu yangu
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Mcheza gemu mmoja mwenye miaka 28 kutoka Siberia ameishttaki kampuni ya Bethesda kwa kulifanya gemu lao la Fallout 4 limtawale mpaka apoteze kazi yake na pia mpenzi wake (mke) Mwanaume huyo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Natumia tecno J5,mwanzo ilikua iina'connect' internet vizuri,lakini baadae ikaanza kusumbua na kuanza kutoconnect internet vizuri,yaani inaconnect Edge tu.Pia sio internet tu,Bali hata mtandao wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau leo window yangu ime corrupt sasa nikawa napiga window nyingine kwa kutumia CD kila ikifa asilimia 95 au 93 inagoma kabisa inasema there some file missing contact the vendor pleas msaada...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani anayeelewa jinsi ya kuscreenshot kwakutumiaa galaxy J1 ace anisaidieeee maaana nimejaribu nimeshindwaaa yani Imekua tofauti na nilivyokuaaa nascreenshot kwenye Huawei
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa JF naomba mnifahamishe,nataka kununua video camera yenye uwezo na ubora wa hali ya juu na ya kisasa, lakini sifahamu ni aina gani nzuri,anayejua tafadhali anijuze nisije nunua ambayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau wa jukwaa hili,Nina PC aina ya HP.sasa hii PC nlimwazima jamaa Jamaa angu kwa muda wa takriban mwez 1,sasa ilivorudi nimekumbana ma tatizo hili,nikwamba ukiconect na charger inafanya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Inaniambia imebakisha siku nane.naomba mwenye hizo keys au namna ya kuicrack isinisumbue tena anisaidie.natanguliza shukran.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…