PC Gamers mnaonaje hii [Re-edited]

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Oct 27, 2012
2,322
5,946
Habari zenu wadau,

**Niliweka thread ya kwanza naona haikuwekwa hewani labda kuna yasiyowapendeza mods, kwa hyo hii ni edited, kwa ambao hawakubahatika kuisoma ya kwanza idea ilikuwa ni facebook group niliweka na link za kujiunga, naona mods wakaiweka chini ya ulinzi mkali, isiwe shida nime edit na kutoa hiyo link, thread hii itatumika kama mbadala wa idea ya mwanzo ingawa ilikuwa ni rahisi zaidi kuliko hii,**


Kama tittle ilivyoanza najua wengi walioingia humu ni wadau wa PC gaming kwa lugha nyingine tunaweza kusema wanaocheza games mbalimbali kwa kutumia Desktop computers au Laptops, Kuna changamoto kadhaa zimenishawishi kuweka thread hii na suluhu ndogo, Kama tunavyofahamu ni wengi wamekuwa na hamu ya kujenga computer mahususi kwa ajili ya gaming au kupata Laptop yenye sifa hizo bila mafanikio, wengine huitaji vitu muhimu kama Graphics cards, Power supply, Gaming monitors, Genuine controllers, CPU, RAM, na vingine vingi ili kukamilisha mahitaji ya system aitakayo lakini imekuwa ni changamoto kupata vitu hivi kwa urahisi.

Ni aidha utatafuta sana na mwingine anaamua kungoja tu itokee kama bahati kuvipata, wengine nafahamu ni rahisi kwao kuvipata kwa kuagiza watu nje au kununua direct kutoka online stores kama ebay na amazon ila hao ni idadi ndogo tu katika wengi wenye mahitaji ya vifaa hivyo.

Tukija katika upande wa pili kuna watu pia wana vitu kama hizo card, cpu, ram n.k lakini labda wanataka kuviuza au kubadilishana ila ngumu kwao kujua watapata wapi wahitaji wa vitu hivyo.

Sasa nimekuja na wazo la kufungua thread hii, mahususi kwa ajili ya PC gaming stuff (Ni vitu vyote vitahusu PC gaming tu), wanaouza vifaa itakuwa rahisi kuwapata wahitaji na wanaohitaji vifaa itakua rahisi kupata kwasababu utakuwa ni mkusanyiko mkubwa na kama tujuavyo penye wengi pana mengi, games mbalimbali watu watabadilishana na hata kuuziana na pia kutatua changamoto mbalimbali tunazokumbana nazo katika PC gaming.

Tunangoja maoni zaidi kutoka kwenu wadau.
 
mkuu niliwahi kutengeneza thread ya hivyo vitu humu unaweza icheki hapa
Sanaa ya kutengeneza computer

ngoja na mimi nichangie maduka na mahala pa kupata hivyo vitu
-processor zipo kona ya mtaa wa jamhuri na msikiti (mosque) kuna duka la mhindi wakati natembelea alikuwa na pentium, i5, i7 za haswell bei 50,000, dola 200 na 325
-ram ddr3 bei rahisi kabisa 15,000 used ukubwa ni 2gb zinapatikana karibu na maduka ya simu aggrey kwenye kanisa la kkkt jengo la nyuma na linaloangalizana na kanisa
-power supply zinapatikana 400w kwa 30,000 ila kama una uwezo wa kuagizia nje ni bora zaidi hizi za kwetu si nzuri
-Hdd zipo nyingi tu 1tb kwa 100,000 cheki online zipo za kutosha
-ssd 128gb kwa 70,000 zipo magomeni mapipa duka la computer karibu na office za tahmeed
-motherboard za haswel zipo capricon technologies sema bei pasua kichwa dola 100 ni H series hivyo hazisuport overclock pia ni mini itx ina maana una slot mbili tu za ram sema ni ndogo computer yako itakua na umbo dogo pia
-gpu nyingi ni vimeo utapata gpu ndogo ambazo hata kusukuma game ni shida kama radeon hd5450 na nvidia gt 610 bei ni around 80,000 hivi ila kuna maduka wanauza hadi 450,000 hivyo muwe makini. gpu nzuri nunua online

desktop used
kwa wale wasiotaka tabu ya kujenga unaweza nunua desktop used ukabadili tu powersupply na gpu ikawa gaming pc
-core 2 quad desktop zake ni rahisi chini ya laki 2 zinapatikana
-core i3 second gen around 300,000
-core i5 second around 500,000
desktop kwa bei nzuri cheki cheap computers (diskount kubwa) inaangalizana na kitu cha polisi msimbazi, pia angalia machinga complex kuna deals nzuri sana.

ila kuweni makini na processor za xeon, i3, i5 na i7 za first generation perfomance zake ni ndogo sana kwa mahitaji ya game za kisasa
 
Habari zenu wadau,

**Niliweka thread ya kwanza naona haikuwekwa hewani labda kuna yasiyowapendeza mods, kwa hyo hii ni edited, kwa ambao hawakubahatika kuisoma ya kwanza idea ilikuwa ni facebook group niliweka na link za kujiunga, naona mods wakaiweka chini ya ulinzi mkali, isiwe shida nime edit na kutoa hiyo link, thread hii itatumika kama mbadala wa idea ya mwanzo ingawa ilikuwa ni rahisi zaidi kuliko hii,**


Kama tittle ilivyoanza najua wengi walioingia humu ni wadau wa PC gaming kwa lugha nyingine tunaweza kusema wanaocheza games mbalimbali kwa kutumia Desktop computers au Laptops, Kuna changamoto kadhaa zimenishawishi kuweka thread hii na suluhu ndogo, Kama tunavyofahamu ni wengi wamekuwa na hamu ya kujenga computer mahususi kwa ajili ya gaming au kupata Laptop yenye sifa hizo bila mafanikio, wengine huitaji vitu muhimu kama Graphics cards, Power supply, Gaming monitors, Genuine controllers, CPU, RAM, na vingine vingi ili kukamilisha mahitaji ya system aitakayo lakini imekuwa ni changamoto kupata vitu hivi kwa urahisi, ni aidha utatafuta sana na mwingine anaamua kungoja tu itokee kama bahati kuvipata, wengine nafahamu ni rahisi kwao kuvipata kwa kuagiza watu nje au kununua direct kutoka online stores kama ebay na amazon ila hao ni idadi ndogo tu katika wengi wenye mahitaji ya vifaa hivyo, Tukija katika upande wa pili kuna watu pia wana vitu kama hizo card, cpu, ram n.k lakini labda wanataka kuviuza au kubadilishana ila ngumu kwao kujua watapata wapi wahitaji wa vitu hivyo. Sasa nimekuja na wazo la kufungua thread hii, mahususi kwa ajili ya PC gaming stuff (Ni vitu vyote vitahusu PC gaming tu), wanaouza vifaa itakuwa rahisi kuwapata wahitaji na wanaohitaji vifaa itakua rahisi kupata kwasababu utakuwa ni mkusanyiko mkubwa na kama tujuavyo penye wengi pana mengi, games mbalimbali watu watabadilishana na hata kuuziana na pia kutatua changamoto mbalimbali tunazokumbana nazo katika PC gaming.

Tunangoja maoni zaidi kutoka kwenu wadau.
Mkuuu kwa heshima na taadhima naomba uni PM the LiNk to your FB page.
 
mkuu niliwahi kutengeneza thread ya hivyo vitu humu unaweza icheki hapa
Sanaa ya kutengeneza computer

ngoja na mimi nichangie maduka na mahala pa kupata hivyo vitu
-processor zipo kona ya mtaa wa jamhuri na msikiti (mosque) kuna duka la mhindi wakati natembelea alikuwa na pentium, i5, i7 za haswell bei 50,000, dola 200 na 325
-ram ddr3 bei rahisi kabisa 15,000 used ukubwa ni 2gb zinapatikana karibu na maduka ya simu aggrey kwenye kanisa la kkkt jengo la nyuma na linaloangalizana na kanisa
-power supply zinapatikana 400w kwa 30,000 ila kama una uwezo wa kuagizia nje ni bora zaidi hizi za kwetu si nzuri
-Hdd zipo nyingi tu 1tb kwa 100,000 cheki online zipo za kutosha
-ssd 128gb kwa 70,000 zipo magomeni mapipa duka la computer karibu na office za tahmeed
-motherboard za haswel zipo capricon technologies sema bei pasua kichwa dola 100 ni H series hivyo hazisuport overclock pia ni mini itx ina maana una slot mbili tu za ram sema ni ndogo computer yako itakua na umbo dogo pia
-gpu nyingi ni vimeo utapata gpu ndogo ambazo hata kusukuma game ni shida kama radeon hd5450 na nvidia gt 610 bei ni around 80,000 hivi ila kuna maduka wanauza hadi 450,000 hivyo muwe makini. gpu nzuri nunua online

desktop used
kwa wale wasiotaka tabu ya kujenga unaweza nunua desktop used ukabadili tu powersupply na gpu ikawa gaming pc
-core 2 quad desktop zake ni rahisi chini ya laki 2 zinapatikana
-core i3 second gen around 300,000
-core i5 second around 500,000
desktop kwa bei nzuri cheki cheap computers (diskount kubwa) inaangalizana na kitu cha polisi msimbazi, pia angalia machinga complex kuna deals nzuri sana.

ila kuweni makini na processor za xeon, i3, i5 na i7 za first generation perfomance zake ni ndogo sana kwa mahitaji ya game za kisasa

Mchango mzuri chief, nitauweka kwenye group, sema changamoto ya humu ndani ni thread kupotea fasta tofauti na nilivyoweka mwanzo, kama umeshatembelea fb deals group mbali mbali za hapa tz nadhani unaelewa ilivyo rahisi ku manage.
 
Mchango mzuri chief, nitauweka kwenye group, sema changamoto ya humu ndani ni thread kupotea fasta tofauti na nilivyoweka mwanzo, kama umeshatembelea fb deals group mbali mbali za hapa tz nadhani unaelewa ilivyo rahisi ku manage.
inabidi utumie google kuzisearch thread za zamani
 
Back
Top Bottom