Msaada : Software yenye database kwa ajili ya pharmacy

Msaada : Software yenye database kwa ajili ya pharmacy

n2bra

Senior Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
100
Reaction score
14
Nahitaji software yenye database kwa ajili y pharmacy.

Nataka nianze ku-store information digitally kuhusu bidhaa zilizotoka, zinazoingia expiration date na mauzo kwa ujumla.
 
Wakati unatafuta software, hebu angalia kwenye excel kuna sheets nyingi tu zinaweza kukusaidia. Fungua excel sheet, halafu nenda kwenye file, open new, business. Pitia moja moja Nina hakika utaona ya kukufaa. Unahitaji internet nadhani wakati unafungua kwa Mara ya kwanza. Kila la kheri
 
Wakati unatafuta software, hebu angalia kwenye excel kuna sheets nyingi tu zinaweza kukusaidia. Fungua excel sheet, halafu nenda kwenye file, open new, business. Pitia moja moja Nina hakika utaona ya kukufaa. Unahitaji internet nadhani wakati unafungua kwa Mara ya kwanza. Kila la kheri
asante mkuu ngoja nijaribu
 
Nahitaji software yenye database kwa ajili y pharmacy. Nataka nianze kuinstore information diitally kuhusu bidhaa zilizotoka,zinazoingia expiration date na mauzo kwa ujumla.
mkuu bado unahitaji? maana natengeneza system kama hizo
 
kaka na mimi na shida nayo sana ilamimi nina duka la vifaa vya simu na simu pia
 
Back
Top Bottom