Jamani wataalamu wa kompyuta mpakato naomba msaada.
Nina HP ambayo nilinunua mwaka 2013, first hand.
Toka niliponunua sikuwahi peleka kwa Fundi, yeyote zaidi ya kushusha window Mara moja tu...
Nina Laptop hapa nimeletewa ina tatizo la herfu D na # ukibonyeza hajifanyi kazi ila herfu nyingine zote zinafanya kazi nime jaribu kufungua lakini bado naona bado tatizo lipo msaada wenu naomba...
1.Naomba mnisaidie jinsi ya kupdate window katika PC natumia window 7 ultimate kwa pc ya toshiba.
2.Charging sytem inasumbua katika PC yangu yani nikiwa nachaji huwa inasema plugged but not...
Nilkuwa nahtaj kujua gharama za kujiunga na malipo ya baada postpaid toka tigo na vigezo vyao pia kwa anayejua au kufaham kuhusu hili anisaidie kwa hilo.
Habari wakuu,
Najaribu ku-share folder toka linux kwenda windows. Kwenye windows, folders zinaonekana ila hazifunguki. Zinasema you have no right permissions ila nimeweka permission zote. Natumia...
Napenda kujua jina la software inayotumika ku control Projectors. Ambayo inamsaidia mtu ku view videos, Bible verses, etc.. kuna makanisa mengine huwa yanatumia hiyo program
Wakuu habari.
Nikiwa kila mara nikiangalia simu mpya na specification zake katika website maarufu duniani www.gsmarena.com sijawahi kuona tecno mobile phones na hata tab zao. Nimejaribu hata...
Points unazopata waweza tumia kununulia apps kwenye play store.
Very useful haswa kwa sisi tusiokuwa na credit cards. Tumia hii code 934962 kupata points 200 faster
Check out this app. It's...
Wakuu habari, naomba kujuzwa jinsi ya kuweka banners kwenye blogger kupitia HTML CODE au kwa namna rahisi jinsi ya kuweka tangazo kwenye blogger blog, shukrani kwa watakao nifanikisha kujua
Nimesoma certificate of computer application,kwahy natak kuendelea kusoma computer so naweza soma facult gan kat ya hz chini...
Ordinary Diploma in Electrical and Electronic Engineering
Ordinary...
Wana teknolojia mlioko hapa,
Naomba msaada wa dharura. Bosi kanipa link ambayo ni Website version ya PDF, anasema uki-update kule Website pia ita update. Sasa naanzia wapi, je hakupaswa kunipa...
Wakuu habari.
Nina simu LG g3, nilikuwa safarini nikawa na mapumnziko ya siku 2 mjini Maputo, ambako niliuziwa hiyo simu niliyoitaja hapo juu.
Baada ya kuitumia kwa muda wa kama wa mwezi mmoja...
Laptop yangu ya Dell xps inamatatizo ya kutoonyosha inapopata moto na pia feni zke zote mbili hazizunguki kama kabisa yani.
NB. Ilikuwa ndani kwa muda mrefu kama miaka 3, kwani ilikosa adapter...
Mtandao wa simu utakaotumia nguzo kupitisha wire zake nchi nzima upo njiani.., hatua ya kwanza ya uzalishaji nguzo ndio upo kwenye maandalizi, zitatumika nguzo za zege. speed yake ya internet...
Nmkutana na app kama tatu za watsap zoote hizo hazipo play store features zake ziko superb xaaanaaa,nlkuwa naomba wataalamu wansaidie ipi ni bora zaidi ya nyingne
Watsap plus
Watsap gold
Watsap...
Wakuu uwa natumia decoder ya azam kuangalia video kama nyimbo na movie kupitia memory card yangu,lakin cha kushangaza nikiwa naangalia movie uwa zikifika kati zinagoma kuendelea kuplay,lakini...