Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kuna nyumba nimehamia kila umeme ukikata na socket breaker inakata, na kuna wakati socket breaker inakata tu umeme. Hili tatizo ni nini fundi akija aanzie wapi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanabodi, TCRA imesikia vilio vya wadau wa simu za mkononi,taarifa za ndani zinasema kwamba kuanzia May 2015 simu yako ikiibiwa piga simu haraka sana huduma kwa wateja TCRA kuelezea...
9 Reactions
65 Replies
16K Views
Kwanza natanguliza shukrani za dhati kwa msaada niliopata humu baada ya kuleta uzi wangu. My thanks go to Chief Mkwawa and other JF members. Leo niko na shida nyingine. Nili-search uzi wa...
0 Reactions
4 Replies
902 Views
Wakuu! Nijuzeni ni zipi hasa faida za hii kitu mazna naona zimetofautiana kati ya mtu na mtu ..
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu naomba anaefahamu Programm au App ya Kuunga na kuedit videos mbali mbali. Actually nimezirekodi kupitia simu yangu but nataka nizihamishie kwenye laptop ili niziedit na kuziunga. Kifupi...
0 Reactions
5 Replies
818 Views
#‎Sayansi NaTeknolojia‬ Njia ya kuepusha akili bandia kuhatarisha binadamu yatafitiwa Watu wengi wana wasiwasi kuwa kama akili bandia inaweza kuhatarisha maisha ya binadamu hata kuwaua au la...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kampuni ya UBER inayomwezesha kila mwenye gari kufanya biashara ya TAXI sasa imeanza kazi Tanzania na itaanza safari za majaribio Alhamisi hii. Unaweza kudownload App yao Playstore au AppStore...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nenda kwenye setting afu account zen privary mwisho toa tick kwenye sehemu ya read receipts. Hapo hata ukisoma Ujumbe wa mtu hataona blue tick Kama umesoma.
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana jamvi. Sina nia mbaya na biashara za watu Lakini kwa hili.....wacha nitoe ya moyoni. Ninapenda sana kuangalia mpira wa miguu hasa wa Uingereza (EPL); tatizo langu ni kuona DStv...
6 Reactions
41 Replies
4K Views
Kwa anaefahamu kama inawezekana kuhack hii game ya subway surfers kwenye WP OS ili kupata unlimited keys na coins... Thanks in Advance
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kufahamu namna ya kupima ujazo wa maji katika tank, nafikiria kujenga karo lenye upana wa futi 3 na urefu wa futi 4, kimo futi 5. (Nikumbusheni formula)
0 Reactions
4 Replies
20K Views
Naombeni msaada nifuate nini au natakiwa kuwa nani ni ili nitengeneze forum kama hiyo lakini yangu itadhamiria sana katika makundi Fulani ya watu.
1 Reactions
3 Replies
879 Views
Wakuu, simu yangu imetoa mstari mwembamba kwenye screen Kama inavoonekana...naomba msaada wa kurekebisha
0 Reactions
10 Replies
1K Views
How many times have you been messaging a group of people and you try to answer a question or respond to something, but someone else writes something unrelated before you can reply? Your message...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa anaejua jins ya ku up-date simu model iliyotajwa juu,msg inatokezea mara kwa mara ikitaka ni up-date software,ila nakua na option ya ku postpone.Je,kuna effect gani kama nitaendelea ku...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni MSAADA Wataalam ninataka kubadilisha jina katika E mail ya gmail nafanyeje? Mail ni ileioe ila jina nataka lingine msaada wakuu
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Jamani msaada tafadhali. Nitapata vipi FIFA15 kwa PC yangu.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni project iliyoanzishwa na mwanafunzi wa UDOM akishirikiana na mwanafunzi wa UDSM. Saidia watanzania wenzako kung'ara Africa Dear friends My project "Software that people will pay online for...
0 Reactions
4 Replies
901 Views
Unaweza Pakua hapa food whatsapp kupitia link hii Fouad.Whatsv4.42.apk
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF nilikua naomba kujua series za intel HD grahpics me nasikiaga kuna intel hd grahics ya 2000 intell hd graphics ya 2500 intel hd graphics 3000 intel hd graphic 4000 naomba...
0 Reactions
3 Replies
907 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…