Msaada wa kanuni ya kutafuta ujazo

Msaada wa kanuni ya kutafuta ujazo

kyutta

Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
34
Reaction score
25
Naomba kufahamu namna ya kupima ujazo wa maji katika tank, nafikiria kujenga karo lenye upana wa futi 3 na urefu wa futi 4, kimo futi 5. (Nikumbusheni formula)
 
Ujazo ni :
Urefu * Upana * Kimo AU ENEO *KIMO.
Baada ya hapo kama ni maji, unaweza kuzidisha kwa 28.32 ili upate Lita.
Kwa mfano : 4*3*5= 60 cubic feet. Ambazo ukizidisha kwa 28.32, yaani:
60*28.32= LITA 1699.2
Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom