Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,620
- 5,249
Ndugu wana jamii naomba msaada kuhusu hili.
Nimesajili laini mpya ya halotel ya wanachuo na nikajiunga kifurushi cha mb 600 cha wiki ila tatizo ni moja tu kua licha ya kua nimefanya configuration setting vizuri lakini kila ninapojaribu kuingia mtandaoni kupitia internet explorer inakua inafel na kuniambia kua setting haziko vizuri niangalia setting au nizime wifi ilhali vyote hivyo vimezimwa lakini nikiingia online kupitia operamini inafanya kazi vizuri tu lakini kwingine kote inagoma hata nikitaka kusearch kitu kupitia bing pia inagoma msaada wen plz aina ya simu ni lumia 535
Nimesajili laini mpya ya halotel ya wanachuo na nikajiunga kifurushi cha mb 600 cha wiki ila tatizo ni moja tu kua licha ya kua nimefanya configuration setting vizuri lakini kila ninapojaribu kuingia mtandaoni kupitia internet explorer inakua inafel na kuniambia kua setting haziko vizuri niangalia setting au nizime wifi ilhali vyote hivyo vimezimwa lakini nikiingia online kupitia operamini inafanya kazi vizuri tu lakini kwingine kote inagoma hata nikitaka kusearch kitu kupitia bing pia inagoma msaada wen plz aina ya simu ni lumia 535