My ebay buying experience... (with images)

My ebay buying experience... (with images)

wickerman

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
408
Reaction score
252
So sometime back nilipost kwenye jukwaa la "Matangazo Madogo" kuwa nilikua nahitaji kama kuna mtu mwenye miwani za 3D za Anaglyph ( Red & Cyan ) aweze kuniuzia... Lakini kwakwel sio hapa tu bali hata FB sikuweza kupata mtu mwenye nazo, au kama walikuepo basi walipiga kimya...

Kwa miezi ya juzi hapa niliamua kuchek the Product EBAY and zilikuepo nyingi sana zenye bei tofauti... Kwasababu ilikuwa mara yangu ya Kwanza nikaamua kuchagua yenye Bei ndogo ili hata kama haitofika, basi hasara haitokua kubwa kihivyo...

Kuna seller mmoja nikamuona anaitwa "Right2Save" alikua anauza miwani hyo for 1$ making it a total of 1.33$ with shipping, so nikaenda na huyo

Screenshot_133.png


So nikafanya purchase Kwa kutumia my Paypal Account (Linked with my Credit Card)... And the purchase was Confirmed... And wakati nipo kwenye page ile ya checkout, Nilimuandikia Seller a note kama inavyoonekana hapo kwenye picha...


Screenshot_116.png


Kwenye Dashboard yangu ya paypal baada ya kufanya payment wakaniambia kuwa watampa taarifa muuzaji (Right2Save) afanye shipping... So i waited.

NOTE : Hii ilikua Tarehe 24/04/2014 , Thursday.

Kwenye Tarehe 25/04/2014 nikapokea message kutoka kwa Right2Save mzigo umeshatumwa through airmail...


Screenshot_134.png


Basi kilichobaki ikawa nikusubiri nione kama huo mzigo utafika au nimepigwa changa la macho... Recently nimeenda kucheki kwenye sanduku la Posta huu mwezi wa sita ( I was School )... And nilifurahi kuona kuwa ule mzigo ulikua umefika... Kutokana na Mihuri iliyopo kwenye Postage, Mzigo ulitoka China tarehe 27 mwezi wa 4, ukafika Dar Es Salaam tarehe 9 mwezi wa tano, and Tarehe 10 mwezi wa tano ukawa umeshafika Tanga...

IMG_4354.jpg


Kucheki Ndani, My 3D Anaglyph glasses zilikuepo 3 kama ilivyoandikwa Ebay... So all went well.


IMG_4359.jpg


So kwa wale wote ambao walikua na mashaka, Msihofu sana, cha muhimu nikuangalia Positive Feedback ya anayeuza, Right2Save alikua na +ve feedback ya kitu 99.4%...

Sijui kwa ishu za Customs Processing inakuaje kama mzigo wako ukifika, kwahiyo kama kuna member mwenye idea, Anaweza akacomment.

:msela:HAPPY BUYING:msela:

 
Sorry Mkuu Ilisolokobwe , Miwani sio Main subject ya hii Thread... Kama unataka kujua kazi yake, Jaribu kuchek Google i`m sure utapata...

kwa hiyo kaka, hiyo parcel yako haikuhusika na mambo yoyote ya customs? pili, Je? ni vizuri kuwa nasanduku la posta la binafsi? Tatu, Je? kama mzigo ni mkubwa kiasi kama Tablet itaweka kwenye sanduku hilo lako la posta au itakuja kwa huduma nyingine?.

Je? kwa huduma nyingine ya courier kama vile DHL naile nyingine ya CHINA unaongeleaje?
 
Asante kwa feedback,kuna mzigo nimeagiza ukifika nami nitakuja kutoa feedback
 
Baada ya kusoma hii mada nami nilisema ngoja nijaribu kununua kitu ebay,kwa kuanzia niliamua kununua kitu cha bei rahisi
Nilifungua account ya Paypal nikalink na account yangu ya Equity Bank then nikanza mchakato wa kuchagua kitu cha kununua.Seller niliyenunua kwake alikuwa na rating ya 96.3%

Nilibid Power bank ya 20,000mAh nikashinda kwa $16.28 ambazo ni Tshs. 28,000 ilikuwa tarehe 24/May/2014 nikalipia through paypal 28/05/2014 nikachat na Seller akaniambia" it will take 15-20 working days".Mzigo ulifika 10/06/2014 nikaenda kuchukua Posta na nikaukuta uko poa,Hakuna gharama nilizolipia Posta na item ilikuwa free shipping
Nina mpango wa kununua tablet hapo baadae
 
kwa hiyo kaka, hiyo parcel yako haikuhusika na mambo yoyote ya customs? pili, Je? ni vizuri kuwa nasanduku la posta la binafsi? Tatu, Je? kama mzigo ni mkubwa kiasi kama Tablet itaweka kwenye sanduku hilo lako la posta au itakuja kwa huduma nyingine?.

Je? kwa huduma nyingine ya courier kama vile DHL naile nyingine ya CHINA unaongeleaje?
Hapo kwenye bold , kwenye sanduku lako la posta utakuta document ya mzigo wako, kisha utawaona wahusika hapo posta watakupa mzigo wako, kumbula watu wanaagiza mizigo mikubwa kama mashine za kufulia, au tv set na wanachukulia posta.
 
Hapo kwenye bold , kwenye sanduku lako la posta utakuta document ya mzigo wako, kisha utawaona wahusika hapo posta watakupa mzigo wako, kumbula watu wanaagiza mizigo mikubwa kama mashine za kufulia, au tv set na wanachukulia posta.

Nilitaka kumjibu hivyo hivyo.
Kinachofanyika, mzigo ukifika posta, kama hautoshi kwenye lile sanduku, wanakuwekea 'note' kwamba ukachukue kwenye kaunta zao.
 
Hapo kwenye bold , kwenye sanduku lako la posta utakuta document ya mzigo wako, kisha utawaona wahusika hapo posta watakupa mzigo wako, kumbula watu wanaagiza mizigo mikubwa kama mashine za kufulia, au tv set na wanachukulia posta.

Ahsante mkuu, lazima nifanje jaribio la kuagiza kitu kutoka nje
 
Vip kuhusu bank uliyo activatia paypal acc wanakata sh ngapi mfano crdb?

Alaf pia garama za kufanya iyo transaction ni sh ngapi?
 
je miwani inafanya kazi na pia vipi makato mengine yako vipi na pia walikupa assurance gani iwapo miwani icngefika
 
Vip kuhusu bank uliyo activatia paypal acc wanakata sh ngapi mfano crdb?

Alaf pia garama za kufanya iyo transaction ni sh ngapi?

paypal ni bure ila wao paypal ndio wanahold $1.99 mpaka utakapo comfirm ndio inakuwa refunded hiyo $1.99 kwa ya kujiaminisha kama ni acc yako.. Ila benk hukatwi chochote..
 
je miwani inafanya kazi na pia vipi makato mengine yako vipi na pia walikupa assurance gani iwapo miwani icngefika

kwa kutumiia paypal hela yako inakuwa refunded kwa kuwa hata seller nae ana acc paypal kuhusu hiyo miwani ni kwa ajili ya 3d screen na movies..
 
je miwani inafanya kazi na pia vipi makato mengine yako vipi na pia walikupa assurance gani iwapo miwani icngefika

Mmuzaji alisema kuwa kama mzigo ukija ukiwa umeharibika nimwambie ili atume mwengine... And yes inafanya kazi.
 
So sometime back nilipost kwenye jukwaa la "Matangazo Madogo" kuwa nilikua nahitaji kama kuna mtu mwenye miwani za 3D za Anaglyph ( Red & Cyan ) aweze kuniuzia... Lakini kwakwel sio hapa tu bali hata FB sikuweza kupata mtu mwenye nazo, au kama walikuepo basi walipiga kimya...

Kwa miezi ya juzi hapa niliamua kuchek the Product EBAY and zilikuepo nyingi sana zenye bei tofauti... Kwasababu ilikuwa mara yangu ya Kwanza nikaamua kuchagua yenye Bei ndogo ili hata kama haitofika, basi hasara haitokua kubwa kihivyo...

Kuna seller mmoja nikamuona anaitwa "Right2Save" alikua anauza miwani hyo for 1$ making it a total of 1.33$ with shipping, so nikaenda na huyo

Screenshot_133.png


So nikafanya purchase Kwa kutumia my Paypal Account (Linked with my Credit Card)... And the purchase was Confirmed... And wakati nipo kwenye page ile ya checkout, Nilimuandikia Seller a note kama inavyoonekana hapo kwenye picha...


Screenshot_116.png


Kwenye Dashboard yangu ya paypal baada ya kufanya payment wakaniambia kuwa watampa taarifa muuzaji (Right2Save) afanye shipping... So i waited.

NOTE : Hii ilikua Tarehe 24/04/2014 , Thursday.

Kwenye Tarehe 25/04/2014 nikapokea message kutoka kwa Right2Save mzigo umeshatumwa through airmail...


Screenshot_134.png


Basi kilichobaki ikawa nikusubiri nione kama huo mzigo utafika au nimepigwa changa la macho... Recently nimeenda kucheki kwenye sanduku la Posta huu mwezi wa sita ( I was School )... And nilifurahi kuona kuwa ule mzigo ulikua umefika... Kutokana na Mihuri iliyopo kwenye Postage, Mzigo ulitoka China tarehe 27 mwezi wa 4, ukafika Dar Es Salaam tarehe 9 mwezi wa tano, and Tarehe 10 mwezi wa tano ukawa umeshafika Tanga...

IMG_4354.jpg


Kucheki Ndani, My 3D Anaglyph glasses zilikuepo 3 kama ilivyoandikwa Ebay... So all went well.


IMG_4359.jpg


So kwa wale wote ambao walikua na mashaka, Msihofu sana, cha muhimu nikuangalia Positive Feedback ya anayeuza, Right2Save alikua na +ve feedback ya kitu 99.4%...

Sijui kwa ishu za Customs Processing inakuaje kama mzigo wako ukifika, kwahiyo kama kuna member mwenye idea, Anaweza akacomment.

:msela:HAPPY BUYING:msela:

Hebu nijuze kwa uzoefu wako hii "money back guarantee" imekaaje hii? Unajihakikishia vp kwamba mzigo utafika Na pesa ushatoa?
 
Back
Top Bottom